Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,156
- 14,118
Naona unakaza ubongo.....namaanisha coutinho ana nafasi kubwa ya kubeba titles kubwakubwa huko barca kuliko liva....Sore loser!
Mpira umekuwa sasa unachambuliwa kama Shehe Yahaya!
Una uhakika gani kama Barca watachukua UCL nyingi na Coutihno au atachukua nyingi Laliga?
Una uhakika gani kama Klopp haiwezi irudisha ile Liverpool ya 1980?
Tumempiga Pep, Mungu mtu wenu wa soka na tunamfagia Jumanne na waite hao Barca unao waogopa!
Naona unakaza ubongo.....namaanisha coutinho ana nafasi kubwa ya kubeba titles kubwakubwa huko barca kuliko liva....
City mko nae ligi moja mmezoeana.......kuhusu kumfunga pep mbona alikojolewa nyingi2 na madrid ya cristiano...na pia mbona aliwekwa nyingi2 na barca ya messi....?
Kumfunga city si kubeba uefa....city hawezi pona kwa madrid....pia hawezi kupona kwa barca.....
Use your common sense....
Sevilla kakujambisha.....hadi kufikia robo,ulikutana na timu gani za maana...?Unaongea utumbo tu wa kukariri!
Hauna hata point moja ya maana kuhalalisha usemacho!
Liverpool inaongoza kwa kufunga UCL na inaongoza kwa clean sheets pia!
Takwimu zinaishi
Liverpool hamuogopi yyt UCL
We jamaa ni mshabiki wa timu gani?Sevilla kakujambisha.....hadi kufikia robo,ulikutana na timu gani za maana...?
Usiichukulie poa man city, ni moja ya timu bora ulaya, fomu yake ya mwaka huu haifanani na fomu aliyokua nayo kipind anafungwa na barca au madrid, muda mwingine inabd uweke ushabiki pembeni ili uchambue kwa hakiNaona unakaza ubongo.....namaanisha coutinho ana nafasi kubwa ya kubeba titles kubwakubwa huko barca kuliko liva....
City mko nae ligi moja mmezoeana.......kuhusu kumfunga pep mbona alikojolewa nyingi2 na madrid ya cristiano...na pia mbona aliwekwa nyingi2 na barca ya messi....?
Kumfunga city si kubeba uefa....city hawezi pona kwa madrid....pia hawezi kupona kwa barca.....
Use your common sense....
Liverpool wako powa, kifupi usibeze timu yoyote ambayo imefika hatua hii Uefa.Sore loser!
Mpira umekuwa sasa unachambuliwa kama Shehe Yahaya!
Una uhakika gani kama Barca watachukua UCL nyingi na Coutihno au atachukua nyingi Laliga?
Una uhakika gani kama Klopp haiwezi irudisha ile Liverpool ya 1980?
Tumempiga Pep, Mungu mtu wenu wa soka na tunamfagia Jumanne na waite hao Barca unao waogopa!
Sevilla kakujambisha.....hadi kufikia robo,ulikutana na timu gani za maana...?
At the end msimu bora unahitimishwa na medals, Klopp apange karata zake vizuri, hakuna guarantee kama Salah & Mane & F10 watakuwa na kiwango hicho hicho next season
Sevilla kakujambisha.....hadi kufikia robo,ulikutana na timu gani za maana...?
anadharau Sevilla akawaulize man uKwa takwimu zipi?
2-2 Anfield
3-3 ugenini
Kwa matokeo haya Liverpool angesonga mbele,sasa alinijambisha kivipi?
Hamna team mbovu UCL,Liverpool inamfunga yyt UCL
Mkuu nafasi ya pili ni muhimu sana kama hujui. Man City anachukua PL na anaweza kuchukua FA. Mwanzo wa msimu ujso ile ngao ya hisani atacheza na nani??[emoji847][emoji847]Jifikirishe hapa.Mkuu Usijisumbue Liverpool FC Haishindani Na Man United Katika Ligi Kwani Wakushindana Nae Ni Man City anayeoongoza Ligi na Si Man United.
Kutokana na Kuwa Man City hakamatiki Tayari ameshamaliza Ligi! Kwahiyo Sisi Tunapambana Kumaintain position yetu ya Top Four.
Kwahiyo Kama Unahisi Man United Anahitaji Nafasi Ya Pili ili Abebe Kombe pasi na Apambane Kwahiyo Nafasi Ya Pili.
As long as tupo Top 4 is enough for us kuhamishia nguvu Zetu Kule [HASHTAG]#UCL[/HASHTAG].
Kama umekusudia Mapambano Basi Pambana na Man City anayeoongoza Ligi na sio Liverpool FC
Kutegemea bao la ugenini ni dalili ya kushindwa..Kwa takwimu zipi?
2-2 Anfield
3-3 ugenini
Kwa matokeo haya Liverpool angesonga mbele,sasa alinijambisha kivipi?
Hamna team mbovu UCL,Liverpool inamfunga yyt UCL
Ndio nachambua kwa haki...pep ni yuleyule aliyefungwa nyingi na madrid na barcelona....Usiichukulie poa man city, ni moja ya timu bora ulaya, fomu yake ya mwaka huu haifanani na fomu aliyokua nayo kipind anafungwa na barca au madrid, muda mwingine inabd uweke ushabiki pembeni ili uchambue kwa haki
Nimefungwa bao 9 na ww umepigwa bao 8 na inapoelekea zitafika 10+......think before you act....shame on urself...Timu Ya Maana Tuliyokutana Nayo Ni Man City Tuliyemfunga 3 ambaye Wewe Kuakupiga 9 (i.e. 3 + 3 + 3) ndani ya Msimu huu mmoja.