Mkuu klopp ni bonge la kocha,swala la goli kipa kuwa ni tatizo lilionekana wakati klopp amekuja tu alisajili kipa Baada ya msimu kuisha .msimu uliofata ikaonekana beki mbovu maana beki zilikuwa zinachomesha sana kipa wakaonekana wao sio tatizo sana ,msimu wa 2017/2018 plan zilikuwa beki nyuma mbovu sio kipa tumerekebisha robertson na vvd ila clyn imetokea ameumia msimu wote angekuepo angesaidia sana,Sasa hivi tena katikati ya msimu goli kipa wote wanaonekana wabovu hakuna hafadhali yaani ukilenga goli tu kipa hawezi kudaka,yaani kipa hawana msaada kwenye timu.ilo swala la kipa tusubiri msimu mpaka uishe watasajili tu kipa mpya ila katikati ya msimu nadhani aikuwa kwenye plan ya msimu huu,japo makipa wanajionesha kabisa wabovu.