Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
yaani jana bila VAR tulikua tumelala 5 bila ubishi...kwa makipa hawa hata ununue mabeki wa bei kubwa itakua bure kabisa..Mignolet utadhani kipa wa umiseta!
wasiwasi wangu ni Klopp kukosa plan B mapema na kuchelewa kufanya Sub kipindi cha pili...jana Can alishapotea kabisa na baada ya zile sub ndio timu alishambulia kwa mipango..
je kwa uchezaji wa jana kweli Porto na Kubaki Big four jamani si itakua mpaka washidani wetu wapotee...
msemo wetu unaendelea ... hivi mataifa ya Africa mwakani hakuna

