Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

😀 😀 😀 Yaani Ni Mtindo Wa Kucheka tu Siku Hizi! Silalamiki Na Sikosoi Chochote!
Tayari ipo wazi Kwamba Hii Season imekwisha sasa nimpigie kelele nani??

Mpaka Sasa Katika Hii Sayari Ni Malafyale Peke Yake ndiye Mwenye Imani Kuwa Liverpool Ni Bingwa Wa Ligi Kuu Na Bingwa Wa UCL msimu huu.

Wakuu Tuonane Next Season.
 
M si panic jamani!Mesoma msg zenu mna panid tu!
Ndiyo merudi meona replay games zote mbili za Swansea na ya WBA
Mpira sometimes ni bahati tu,games zote hizi tuliatahili kushinda!

Viva Liverpool!
 
Salah anastahili awe clinical!
Ana kosa bao tatu za wazi anafunga moja gumu
 
😀 😀 😀 Yaani Ni Mtindo Wa Kucheka tu Siku Hizi! Silalamiki Na Sikosoi Chochote!
Tayari ipo wazi Kwamba Hii Season imekwisha sasa nimpigie kelele nani??

Mpaka Sasa Katika Hii Sayari Ni Malafyale Peke Yake ndiye Mwenye Imani Kuwa Liverpool Ni Bingwa Wa Ligi Kuu Na Bingwa Wa UCL msimu huu.

Wakuu Tuonane Next Season.

Ndiyo mefika home mkuu!
Meona mechi hizi zote mbili,Swansea walishinda kwa bahati tu na WBA bahati tu
Tuendelee kuipenda team yetu
Naiona improvement kubwa
 
Klopp Bana alimvuruga Migs kisaikolojia halafu akampanga Jana

Our year, next season msemo wetu unaendelea ... hivi mataifa ya Africa mwakani hakuna

Na bet only uefa

Migs has to GO
Karius has to GO
Liverpool aje kipa mpya na msaidizi Ward
Pia akija Keita hii team bingwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom