Kuna comment humu nilikwambia Liver wanawafungaga wakubwa, wale walio chini ya top 6 huwasumbua, ukadai mwaka huu ni tofauti, na ukanihakikishia kwamba The Swans wanafuata kuchinjwa baada ya Mancity.
Leo mmekimbia jukwaa lenu.


Kwahiyo ulikuwa ukivizia Liverpool ifungwe Mchezo mmoja tu uje uandike huu utumbo??
Sasa Ukweli Kama Upo Hauviziwi bali Unakuwepo Siku Zote! Na ukiona unavizia Jambo Kama Hivi kuwa iko siku litatokea basi hiyo tunaita "Possibility"... Na halina ulazima Kuwa uwe Ukweli.


Kinachokusumbua Hujui Mpira Ni Nini!!! Hapa bado Hujaprove chochote Kwa Kauli Yako Bali Umeandika tu Kwa Sababu uambiwe umeandika..


Katika Timu Zilizo Nje Ya Top Six Tokea ilipoanza Ligi Mpaka Jana Tumeshacheza Michero 24 Ni SWANSEA pekee Ndiyo iliyotufunga!!! Sasa Hapa umetumia Kigenzo Gani Cha Kusema Tunasumbuliwa na Vibonde???

• Man United Msimu huu EPL kafungwa na Huddersfield..

• Chelsea Msimu Huu Kafungwa na Crystal Palace...

• Arsenal Yeye ndiyo hasemwi hasa...

Lakini Umetumia Vigenzo Gani Hata Hapa Ukaiona Liverpool pekee hasa usiwaone???

Kulingana Na Mawazo Yako Finyu Hapo Ni Wazi Kuwa Sio Liverpool pekee! Bali Man United, Arsenal Na Chelsea Wote Wanasumbuliwa na Vibonde na Si Top 6.

Yaani Kama Unapima Uwezo Wa Timu Kwa Mchezo Mmoja bro nakupa pole!!!

Yani Tokea round ya Kwanza Nzima Mpaka Kufikia Round Ya Pili Kufungwa Mchezo Mmoja tu unajifanya Koprove Mawazo Yako Yaonekane Sahihi!!!

Hapa Usilete Dhana, Lete Stats Zinazothibitisha unachokizungumzia.
 
Haina Haja Ya Kupanic kwani Ukweli Usiofichika Washabiki Wa Liverpool Wamerelax lakini Wawe Viwavi Wa Man United, Chelsea na Arsenal Ndiyo Wanaoleta Mawazo Yao Hapa Ya Kujifanya Kukosoa.

Mfano Watazua Hapa Eti Kufungwa Jana Ni Sababu Ya Coutinho Kuondoka Huku Wakisahau Kuwa Tumeshashinda Mchezo Mitatu Mfululizo Bila Ya Kuwemo Huyo Coutinho...

• Tumemfunga Everton (FA)
• Tumemfunga Burnley (EPL)
• Tumemfunga Man City (EPL)

Lakini watajifanya Hypocritically Kuwa hili Ni pengo la Coutinho.
 
Kilichobakia Tujiandae Kwa Next Game!
Na Tuwapuuze Wale Haters wote juu ya Wanayojifanya Kukosoa dhidi Ya Kikosi Chetu..
Na Tukumbuke Kuwa Huu Ni Mchezo Wa 3 tu Kupoteza tena Yote Ni "Away"...

Na Hakuna Timu Moja Ukiacha Man City Msimu Huu ambayo Haijafungwa Na Kibonde.

Kwahiyo MTU Akisema tu Liverpool inahangaishwa na Vibonde Basi Ajue Na Timu Yake pia inahangaishwa na Vibonde.
 
Kwahiyo ulikuwa ukivizia Liverpool ifungwe Mchezo mmoja tu uje uandike huu utumbo??
Sasa Ukweli Kama Upo Hauviziwi bali Unakuwepo Siku Zote! Na ukiona unavizia Jambo Kama Hivi kuwa iko siku litatokea basi hiyo tunaita "Possibility"... Na halina ulazima Kuwa uwe Ukweli.


Kinachokusumbua Hujua Mpira Ni Nini!!! Hapa bado Hujaprove chochote Kwa Kauli Yako Bali Umeandika tu Kwa Sababu uambiwe umeandika..


Katika Timu Zilizo Nje Ya Top Six Tokea ilipoanza Ligi Mpaka Jana Tumeshacheza Michero 24 Ni SWANSEA pekee Ndiyo iliyotufunga!!! Sasa Hapa umetumia Kigenzo Gani Cha Kusema Tunasumbuliwa na Vibonde???

• Man United Msimu huu EPL kafungwa na Huddersfield..

• Chelsea Msimu Huu Kafungwa na Crystal Palace...

• Arsenal Yeye ndiyo hasemwi hasa...

Lakini Umetumia Vigenzo Gani Hata Hapa Ukaiona Liverpool pekee hasa usiwaone???

Kulingana Na Mawazo Yako Finyu Hapo Ni Wazi Kuwa Sio Liverpool pekee! Bali Man United, Arsenal Na Chelsea Wote Wanasumbuliwa na Vibonde na Si Top 6.

Yaani Kama Unapima Uwezo Wa Timu Kwa Mchezo Mmoja bro nakupa pole!!!

Yani Tokea round ya Kwanza Nzima Mpaka Kufikia Round Ya Pili Kufungwa Mchezo Mmoja tu unajifanya Koprove Mawazo Yako Yaonekane Sahihi!!!

Hapa Usilete Dhana, Lete Stats Zinazothibitisha unachokizungumzia.
Duh, kweli The Swans wamekivuruga, povu lote hili!
 

"Wise men talk because they have something to say, fools talk because they have to say
something"

So who is a fool and who is a wise man??
Dude, take a chill pill! It seems The Swans have totally desoriented you internally!!
Don't take it personally!!
 
Formula One!!!! :D :D :D :D

IMG_20180123_135248.png
 
Hizi Stats za Gini!!!! :D :D :D

Gini Wijnaldum vs Swansea

√ 92% passing
√ 1 chance created
× 0 shots
× 0 aerial duels
× 0 interceptions
× 0 dribbles
• 1 foul
• 1/2 tackles
 
Swansea ndugu walishinda ni moja ya game ambazo binafsi simlaumu Klopp au wachezaji...nafasi za kufunga zilitokea japo nadra..na kwa namna wachezaji wa Swanselona walivyojipanga ilikua ngumu sana...
Hata hivyo hii itakua wake up call kwa Klopp kuja na mbinu mbadala za kupenetrate timu zinazopaki basi kupitiliza kama hawa..
YNWA
 
NEW: Jürgen Klopp reject the chance to sign Sanchez because he is too old

Source: Liverpool Echo
 
Liverpool have dismissed reports that they have agreed personal terms with the French international, although he remains a target for the club

Source: Liverpool Echo
 
Virgil van Dijk vs Swansea

• 95% passing
• 113/119 passes completed
• 2 chances created
• 3 shots
• 10/13 aerial duels
• 8 clearances
• 1 interception
 
Back
Top Bottom