NaughtyGuy
JF-Expert Member
- Nov 10, 2017
- 1,747
- 1,943
Huyu kipa mafua sijui why anampenda sana sijui sababu kabila.moja. anyway NYWA ....hope ushindi upo..
Habari za asubuhi?Tushaongea sana.. Jamaa ana daka kwa kubahatisha.. huyu sio kipa wa kwenda nae Champions league
Pole mkuu ndo ukubwa huoLeo naona Tumeingia na formation ya 4 - 2 - 3 - 1
Beki mtu tano....Swansea alikuja kutafuta point aiseeWatu wamekimbi jukwaa mziki wa swansea sio wa kitoto
Kuna comment humu nilikwambia Liver wanawafungaga wakubwa, wale walio chini ya top 6 huwasumbua, ukadai mwaka huu ni tofauti, na ukanihakikishia kwamba The Swans wanafuata kuchinjwa baada ya Mancity.Leo naona Tumeingia na formation ya 4 - 2 - 3 - 1
Ahsante.Poleni kwa kijipigo.