Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

AOC Anahitaji Game time Nyingi Zaidi ili Zaidi Kupata Match Fitness Coz ameshaanza Kuprove Kuwa Hatukupoteza Kumleta Anfield....
Ameshaanza Kugain Consistency polepole...
Ni hile limit ya Kuplay ndiyo iliyokuwa ina hinder to prove his worthy...

So, Combination Ya Gini-Can-AOC inakua best Zaidi Kuliko ya Hendo-Gini-Can au Hendo-Can-AOC

Some Time Tunamlaumu Mchezaji aliyebench Kwa Kiwango Kibovu, lakini Kumbe wakulaumiwa Ni Kocha Kwanini Hampi Nafasi akaprove!!!!
 
Na Kuna Washabiki Walimlaumu Sana Joe Gomez Kwa Kufanya error iyopelekea Sanchez Kuisawazishia Arsenal kiasi Ya Kwamba walisema asipangwe tena wakisubiri Clyne arudi Kwenye Nafasi Yake...

Nadhani Wamesahau Error za Clyne Katika Defence Yetu kama Clyne hachezi Mpira ya Vichwa .. In case of Cross or Corner Ni rahisi Sana Kuconcede...

Ukweli Ni Kwamba Gomez Bado Ni Mdogo anaweza Kujifunza Zaidi na Kuboreka Kwasababu Ni Talented..

Lakini Clyne Kwa Umri alionao Hawezi Jifunza Tena Chochote kipya...

So, Tumpeni Nafasi Ajifunze Zaidi hasa ukiangali Makosa Yake Sio Repeatedly kama Mignolet, Lovren na Moreno.
 
If I'm right Nadhani lile hitajio letu la Kunua Beki Ya Kushoto limeshaondoka...

Kwakweli Performance ya Robbo Ni very Amazing! Dogo ndiyokwanza Ni 22years Bado anao muda Wa Kuboreka Zaidi na Yuko Makini sana na Kujiepusha na zile individual error..

Kwa sasa He needs only experience na kupia Cross kwa usahihi Zaidi...

Kitu pekee ninachokihofua Ni kupona Kwa Moreno Kunaweza uwa kipaji cha huyu Dogo.
 
Exclusive: Liverpool agree world-record £75m deal for Virgil van Dijk


Screenshot_20171227-204318.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom