Wewe binti nakukubali sanaLiverpool inajitupa kesho Jumatano uwanjani kukamilisha mchezo wa mwisho wa makundi ambapo itakutana na Spartak Moscow, huku ikihitaji sare tu kujihakikishia kutinga hatua ya 16 bora.
Liverpool imejiweka kileleni baada ya kukusanya pointi 9 na ikifuatiwa na Sevilla yenye pointi 8 katika nafasi ya pili.
Vita ya kutinga hatua ya 16 bora pia imeikumba klabu ya Spartak Moscow ambayo ushindi wowote itaiweka kwenye nafasi nzuri ya kufuzu iwapo tu Sevilla itatoka sare.
Liverpool ipo kwenye hatari ya kukosa kuwa kileleni kwenye kundi lakini bado ina nafasi ya kuvuka kwenda hatua ya 16 bora.
Wewe binti nakukubali sana
Liverpool inajitupa kesho Jumatano uwanjani kukamilisha mchezo wa mwisho wa makundi ambapo itakutana na Spartak Moscow, huku ikihitaji sare tu kujihakikishia kutinga hatua ya 16 bora.
Liverpool imejiweka kileleni baada ya kukusanya pointi 9 na ikifuatiwa na Sevilla yenye pointi 8 katika nafasi ya pili.
Vita ya kutinga hatua ya 16 bora pia imeikumba klabu ya Spartak Moscow ambayo ushindi wowote itaiweka kwenye nafasi nzuri ya kufuzu iwapo tu Sevilla itatoka sare.
Liverpool ipo kwenye hatari ya kukosa kuwa kileleni kwenye kundi lakini bado ina nafasi ya kuvuka kwenda hatua ya 16 bora.
wewe!hivi unadhani kuna timu itakayo vuka 16 inayo ogopa kukutana na Liverpool?kila timu inapenda ikutane nawewe ili wapandie kwako.Leo ni leo Anfield
Liverpool HAIMUOGOPI yyt ktk sweet 16!
Kama tuko serious tutaweza kumlipa huwez jua hatak kubak kweny team yke ya sasa labda anataka kubadl upepo wenda akawa na mapenz na liverpoolMilango ipo wazi Kwa Leon Goretzka na Tayari ameshaingizwa Sokoni Kwani Mwisho Wa Simu Mkataba Wake Unaisha na Schalk 04 hawataki Kumpoteza bure bila ya Hela Yoyote kwahiyo Wameamua January Wamuuze...
Lakini Wao Schalk Wamempa £150,000/= ili asaini Mkataba Mpya lakini Kakataa! Je Liverpool Watakuwa Tayari Kutoa Hela Hiyo Kwa Average Player Kama Yeye?
I don't think so...
wewe!hivi unadhani kuna timu itakayo vuka 16 inayo ogopa kukutana na Liverpool?kila timu inapenda ikutane nawewe ili wapandie kwako.
Hahahahahahahahahahawewe!hivi unadhani kuna timu itakayo vuka 16 inayo ogopa kukutana na Liverpool?kila timu inapenda ikutane nawewe ili wapandie kwako.
Tetesi
Meneja wa Liverpool Jurgen Klopp anasema kuwa hana uhakika ikiwa mchezaji wa kiungo cha kati Philippe Coutinho bado atakuwa Anfield baada ya mwezi Januari. Barcelona ilitoa ofa mara tatu kwa raia huyo wa Brazil msimu huu. (Daily Star)
Vipi tukifungwa leo tunaweza kuendelea?
Lalana our new captain