Satuuuu
JF-Expert Member
- Dec 3, 2015
- 1,849
- 1,994
Kocha wenu hana historia hio kwa ClopVijana wa Looselfool Jana mmejitaid mmepata point moja,, ila mkija OT mtaondoka na ambulance
Kocha wenu hana historia hio kwa ClopVijana wa Looselfool Jana mmejitaid mmepata point moja,, ila mkija OT mtaondoka na ambulance
Yaani kweli nyie ni timu of history,Kocha wenu hana historia hio kwa Clop
Kila siku tutaishia "next season"Kwa Upande wa Defensive Midfielder Klopp ameonesha Nia Nzuri Ya Kutaka Kurekebisha Kwa Kumnunu Keita..
Nashauri tu iwapo January Atamkosa VVD basi Aachane Nae na Atafute Beki Mwengine akabid ili atleast next Season Timu ianze msimu ikiwa imeshafanyiwa Marekebisho.
[HASHTAG]#WeNeedStriker[/HASHTAG]
liva ni kikundi cha wahuni
Vijana wa Looselfool Jana mmejitaid mmepata point moja,, ila mkija OT mtaondoka na ambulance
View attachment 611240
Haya Ni Matusi Danny aliyoamua Kututukana!
By the way! He is right...
⅛ X 100% = 12.5%
Kwa hiyo Takwimu yetu ya Mara hii tuna asilimia 12.5% tu ya Ushindi..
Un-Fvcking believable...
Welbeck ni professional player mkuu HAWEZI andika hayo!
Kumfananisha BR na Klopp ni matusi makubwa sana kwa wapenda kandanda!
Klopp anaingia CL sweet 16 na mechi mkononi,BR alishindwa ktk group lenye team ya Basel na Lugrots ya Bulgaria