Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Halafu Kwa ninavyowajua Plastic Fans Sasahivi atatokea Mjinga mjinga hapa Atadai "TIMU INACHEZA VIZURI LAKINI HAINA BAHATI"

Bahati!!!! Hivi Klopp Kawa Mjinga Kiasi Gani Ya Kuwa Tokea Msimu uliopita Bado Hajaliona Tatizo la Liverpool la Kukosa Nafasi Za Wazi??

Unafikiri Tatizo Linarekebishwa Kwa Kumrekebisha Sturridge?

Ukweli ni Kwamba January ni Lazima Klopp asajili Striker ili afanye Marekebisho ya Tatizo lilopo kwani nafasi Tunazotengeneza ni Nyingi Kuliko Runazofunga...

HAKUNA CHA BAHATI KWENYE MECHI 6/./
 
Halafu Kwa ninavyowajua Plastic Fans Sasahivi atatokea Mjinga mjinga hapa Atadai "TIMU INACHEZA VIZURI LAKINI HAINA BAHATI"

Bahati!!!! Hivi Klopp Kawa Mjinga Kiasi Gani Ya Kuwa Tokea Msimu uliopita Bado Hajaliona Tatizo la Liverpool la Kukosa Nafasi Za Wazi??

Unafikiri Tatizo Linarekebishwa Kwa Kumrekebisha Sturridge?

Ukweli ni Kwamba January ni Lazima Klopp asajili Striker ili afanye Marekebisho ya Tatizo lilopo kwani nafasi Tunazotengeneza ni Nyingi Kuliko Runazofunga...

HAKUNA CHA BAHATI KWENYE MECHI 6/./
Halafu we jamaa mbona unajidai kama timu ya baba yako? Kama timu inakuzingua pumzika kushangilia
 
Kops tu support team yetu
Kumtukana kocha au team ndiyo mmefanya wengine tuwe tuna waangalia tu bila kuchangia!
Inauma sana mwana Kopite anaitukana team yake mwenyewe
JK is all the way!!
 
Kops tu support team yetu
Kumtukana kocha au team ndiyo mmefanya wengine tuwe tuna waangalia tu bila kuchangia!
Inauma sana mwana Kopite anaitukana team yake mwenyewe
JK is all the way!!
Achana nae mzembe huyo utadhani kalazimishwa kushabikia
 
Tumecheza vizuri
Wao wana kipa bora kwa sasa duniani
Liverpool inakwenda ku challenge for title


Yah! Kipa Wao Kawa Bora Baada Ya Sisi Kukosa Mfungaji Bora.
Refer Man City (G. Jesus & L. Sane) Tena Hawa Wote Wamenunuliwa Kwa Pesa ya Karanga.
 
Kops tu support team yetu
Kumtukana kocha au team ndiyo mmefanya wengine tuwe tuna waangalia tu bila kuchangia!
Inauma sana mwana Kopite anaitukana team yake mwenyewe
JK is all the way!!


Mkuu sisi hatumtukani Klopp wala Timu! Bali Tunamlaumu Klopp Kwakuwa Huu ni Msimu wa 2/3 tokea aje Liverpool na Analiona wazi tatizo la Ufungaji lakini kwa Makusudi Kaamua Kulipuuza.

Angalia Mechi ya jana! Tumepiga Mashuti 16 golini (5 On Target & 11 Off Target) Lakini Goli ni Sifuri...

Mkuu unafahamu Wazi Kuwa Nafasi Tunazopoteza Kila Mechi Ni nyingi kwa kukosa Mfungaji tu.

Najua Wazi Kuwa Timu Yetu inacheza Mpira mwingi na inashambulia Balaa lakini Foward Butu...

Kumbuka Kuwa Namba 9 yetu ni Firmino! Sasa Hebu tazama Striker Firmino Tunayemtegemea Ana Magoli Mangapi?? Huoni Hapa Klopp anachezea Hisia Zetu?

Hebu Waangalie Kina Moratta, Lukaku, Sane, Aguero, Kane & G. Jesus ndiyo uwezo Wao Wa Kufumania Nyavu ni Sawa na Firmino??

Mkuu Next Season ni Lazima Klopp Anunue Striker...

Kwa Mpira Tunaopiga Msimu Huu Tungelikuwa na Striker Basi Tungelikuwa Tunaongoza Legue.
 
Kwa Upande wa Defensive Midfielder Klopp ameonesha Nia Nzuri Ya Kutaka Kurekebisha Kwa Kumnunu Keita..

Nashauri tu iwapo January Atamkosa VVD basi Aachane Nae na Atafute Beki Mwengine akabid ili atleast next Season Timu ianze msimu ikiwa imeshafanyiwa Marekebisho.

[HASHTAG]#WeNeedStriker[/HASHTAG]
 
Vijana wa Looselfool Jana mmejitaid mmepata point moja,, ila mkija OT mtaondoka na ambulance
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom