Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Wewe @Ollachuga ni Shabiki Maandazi na Kitu Pekee Kwenye Mpira unachokijua nikuwa Mpira umeanza Kuchezwa na Drogba, Lampard, Joy Cole, Makelele, Gallas, Bridge, Cavalho na Geremi Kwasababu ndiyo wachezaji ulioanza Kuwafahamu pale ulipomfata Morinho Chelsea..

Lakini Wanaojua Mpira Basi Wanaweweseka Kuomba Wasijepangiwa Kukitana na Liveepool kwani Liveepool CL ni Rahisi kuliko EPL...
Na ninatamani Kwenye Mtoano (16 Bora) nikutane na Chelsea uone Nitakachokufanya.
 
Huyu burnly msimu uliyopita si alikutandika nje ndani au siyo wewe. Ebu matokeo ya msimu uliyopita

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chekii timu unayosema inashuka daraja inavyokunyosha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kujitekenya hii ndiyo timu inayotaka kushuka dajara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

maajabu leo barnley analinganishwa na cty kiuwezo
 

Shaffih anajuilikana ni Mnazi wa Man U tu lakini Hajui Mpira!

Afahamu Kuwa Ukubwa wa Tatizo Kwa Aliyechezewa Faulo Haidetermine Ukubwa Wa Adhabu.

•Mwaka 2002 world Cup Katika ya Brazil vs England Ronaldinho Alipewa Red Car Kwa Kucheza Faulo ambayo Haikuleta athari yoyote Kwa Aliyechezewa Faulo. Lakini tu Kwa vile Gaucho Alikusudia Kucheza Faulo Mbaya haikutazamwa athari ya aliyechezewa Kuwa alikwepa.

•Pia Mwaka huo huo 2002 Mechi Kati ya France vs Senegal Thiery Henry alipewa Red Card for the same foul bila ya Kumjeruhi yoyote..

•Lakini akumbuke Joy Cole akiwa Chelsea aliumizwa Kwa Kuchezewa Faulo mbaya na Akakaa juu Mwaka Mzima na Aliemuumiza Hakuadhibiwa kutokana na Mazingira ya Kutokea Hiyo Faulo.

•Hata last Season Wachezaji Walioumizwa Kwa Kuchezewa Faulo Mbaya Zaidi na Wakakaa Juu Kwa Muda Mrefu bila ya Kuadhibiwa Waumizaji ni: Coutinho, Barkley, Henderson, Ibrahimovic, Eric Baily, Clyne, Gabriel Jesus (Alivunjwa Mguu), Vincent Kompany, Virgil Van Djik n.k.

√√KWAHIYO ADHABU YA RED HAITOLEWI KWA KUANGALIA ETI ALIYEFANYIWA FAULO KAUMIA KIASI GANI! BALI INATOLEWA KUTOKA NA MAZINGIRA YA KUTOKEA HIYO FAULO YENYEWE, INTENTION YA MANE HAIKUWA KUMUUMIZA KIPA BALI NI KUUCHEZA MPIRA, ILA KIPA NDIYE ALIYETOKA MPAKA NJE YA BOKSI NA KUMVAMIA MANE.

MY TAKE:
UKUBWA WA MAJERAHA YA HUYO KIPA HAIMAANISHI UKIBWA WA ADHABU
 
Chekii timu unayosema inashuka daraja inavyokunyosha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app


Mimi nikisema Mashabiki wote wa Chelsea hakuna hata mmoja anaejua mpira Kwasababu wao wamedandia tu kwa kumfata Morinho! Huwa wanakataa! Unaona sasa wewe unavyojifariji kwa Kitu usichokijua??

Kwa Taarifa yako Burnley Tokea apande Daraja mwaka 2009 katufunga Mara Moja tu Ambayo Ni Mwaka Jana..
Zilizobakia Zote Tumemfunga Yeye Bila ya Hata Kutoa Draw..

Lakini wengi Musiojua Mpira ni nini Munahisi Burnley Ni Mbabe Kwetu..

Hebu Kaangalie Rekodi Zako Chelsea vs Burley ikisha ulete Mrejesho hapa Burley atakuwa Mbabe wa nani katika ya mimi au wewe..


 
Huyu burnly msimu uliyopita si alikutandika nje ndani au siyo wewe. Ebu matokeo ya msimu uliyopita

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaumwa wewe nani msimu uliopita alimtandika liver nje ndani? Angalia huyo bunley alimaliza ligi wa ngapi na hata hiyo game aliyoshinda angalia nani aliposses mpira kuliko mwenzie, all in all man cty kamzidi bunley by far, huwezi linganisha uwezo wa cty na bunley
 

Mkuu usishangae ni Mshabiki wa Chelsea huyo aliyependa Mpira Ukubwani (2004) Baada ya Morinho Kuhamia Chelsea!

Washabiki Wa Chelsea Siku Zote Ninasema Hawajui Mpira watakusumbua tu. Manake hata hilo jambo dogo la Kuwa Game ya pili Burnley Tulimfunga 2 kwa 1 pia halijui! Atajua nini jengine...!
 
Wakuu, pamoja sana. Majanga hutokea lakini sayo mwisho wa timu yetu. Hakuna mtu ndani ya timu yetu anayefurahia kufungwa.
Tuna game kubwa na muhimu sana mbele yetu na bila shaka vijana watarekebisha makosa na kusonga mbele. YNWA.
 
Washabiki wa Liverpool wanajua mpira kwenye mtandao tu. Na kutabiri ubingwa ambao nao mwisho wa siku wanajikuta hata kombe la mbuzi hawana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe huna historia nzuri na Chelsea kwenye UEFA. ..mara zote amekuwa akikupiga tu

Sijui leo kwa sevilla kama utatoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chelsea alirudisha goli mbili..wee umerudisha hata moja? 5-0 ...[emoji23][emoji23][emoji23] iyo defense ni mbovu kias gani. .

Sent using Jamii Forums mobile app

Goli mbili na Burnley?
Quality sawa Burnley inayo pigania isishuke daraja na Man City wanao pewa chapuo kuwa mabingwa?
By the way hata kama walifunga bao 2 ndiyo walipata point yyt ile?
Nakushauri endelea tu kushabikia netball yako,kwenye soka huku huwezi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…