bhachu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 8,737
- 10,364
Wanga wengi !
shida hamna pesa ya kumlipa nyinyi inayoendana na kiwango chakeWanga wengi !
shida hamna pesa ya kumlipa nyinyi inayoendana na kiwango chake150,000/- ndogo ?![]()
![]()
![]()
![]()
shida hamna pesa ya kumlipa nyinyi inayoendana na kiwango chake
Daaaah kumbe ndo kamshara kadogo tu hivyo, ndo maana Coutinho kakubaliana terms na Barcelona Ila bado kwa Liverpool na klop tu kukubali....150,000/- ndogo ?
Shida sio pesa... Ila nafkri unajua namna wachezaji wa South America wanavoztukuza Real Madrid na Barcelona..![]()
![]()
![]()
![]()
shida hamna pesa ya kumlipa nyinyi inayoendana na kiwango chake
Sio wabrazili tu hata any player anajua kuwa kilele cha SokA hapa ulimwenguni ni Kucheza Barcelona au Madrid.....hizo klabu nyingine ni vyuo tu vya kuwajenga wawe na viwango ili waje Barca au MadridShida sio pesa... Ila nafkri unajua namna wachezaji wa South America wanavoztukuza Real Madrid na Barcelona..
Pesa anayolipwa coutinho pale lfc n kubwa tu
75,000 mpaka 150,000 liverpool ! Barca watampa 200,000 tu !Daaaah kumbe ndo kamshara kadogo tu hivyo, ndo maana Coutinho kakubaliana terms na Barcelona Ila bado kwa Liverpool na klop tu kukubali....
Ahsante sana Liverpool kwa kumpika Coutinho, nadhani huu mda sahihi wa Barcelona kumchukua coutinho
Mchezaji awae-yote, ana haki ya kuchezea timu anayojisikia kuichezea. Even though club ikiwa ndiyo mwajiri wake, ina haki vilevile ya kusimamia makubaliano ambayo inakuwa imeingia na mchezaji husika
Phil ni mchezaji muhimu kwa Liverpool kwasasa na kama Liverpool itaweza kumbakisha then it will be a good job. But kama ataondoka kwenda barca, mimi binafsi (Sisemei what other people might feel) ninamtakia heri na mafanikio.
Wachezaji wengi ambao ni portugues/Spanish speakers wanavutiwa na kucheza for Laliga giants, so kama Phil feels the same way then hilo siyo ajabu. What I can say…wakati Lui anauzwa alikuwa kwenye kiwango cha juu sana! Phil hajawahi kufikia hata nusu yake…lakini aliondoka. Madrid wanamuhitaji and probably player wants to go but Old Toilet wanajitahidi kubana!
If you want compare good and evil, you have to mention Old Toilet, even if you want to compare sheet and shit, Manure is good example !Sijui Liverpool mnaumwa ugonjwa gani, hivi hamuwezi kupambana na mambo yenu bila kuitaja Man Utd, au ndo ile kauli mkubwa jalala?
If you want compare good and evil, you have to mention Old Toilet, even if you want to compare sheet and shit, Manure is good example !
....ni hali ya kawaida, nikama kuwa na ndugu teja huna jinsi !Poleni sana mkuu, pambaneni na hali yenu, kuwa obsessed na Man Utd kutawaletea vidonda vya tumbo.
Teja ni teja tu, halikawii kujiona la maanaHuwezi kuwa obsessed na teja hata kama ni mzazi wako, lakini kama nduguyo teja kakuzidi kwa kila kitu, pesa, fame, ufalme lazima uwe obsessed.
Pole, [HASHTAG]#Pambana[/HASHTAG] na hali yako
Teja ni teja tu, halikawii kujiona la maana
....uwe teja alafu uwe na maisha mazuri !? Unaijia arosto !?Manji anapiga ngada, lakini ana maisha mazuri kuliko wewe na all your ancestors combined. Bado unaamini teja ni teja?
Mchezaji awae-yote, ana haki ya kuchezea timu anayojisikia kuichezea. Even though club ikiwa ndiyo mwajiri wake, ina haki vilevile ya kusimamia makubaliano ambayo inakuwa imeingia na mchezaji husika
Phil ni mchezaji muhimu kwa Liverpool kwasasa na kama Liverpool itaweza kumbakisha then it will be a good job. But kama ataondoka kwenda barca, mimi binafsi (Sisemei what other people might feel) ninamtakia heri na mafanikio.
Wachezaji wengi ambao ni portugues/Spanish speakers wanavutiwa na kucheza for Laliga giants, so kama Phil feels the same way then hilo siyo ajabu. What I can say…wakati Lui anauzwa alikuwa kwenye kiwango cha juu sana! Phil hajawahi kufikia hata nusu yake…lakini aliondoka. Madrid wanamuhitaji and probably player wants to go but Old Toilet wanajitahidi kubana!
75,000 mpaka 150,000 liverpool ! Barca watampa 200,000 tu !
Shida sio pesa... Ila nafkri unajua namna wachezaji wa South America wanavoztukuza Real Madrid na Barcelona..
Pesa anayolipwa coutinho pale lfc n kubwa tu
Daaaah kumbe ndo kamshara kadogo tu hivyo, ndo maana Coutinho kakubaliana terms na Barcelona Ila bado kwa Liverpool na klop tu kukubali....
![]()
![]()
![]()
![]()
shida hamna pesa ya kumlipa nyinyi inayoendana na kiwango chake
Ahsante sana Liverpool kwa kumpika Coutinho, nadhani huu mda sahihi wa Barcelona kumchukua coutinho
Duh!
Hizi ni habari mbaya sana kwetu mkuu...
Neymar rasmi kaondoka Barca muda huu!
Karuhusiwa kwenda PSG kwa mazungumzo na atakuwa Paris mchana huu!
Klopp hawezi mzuia Coutihno kwenda Barca sana sana ata susia kucheza!
Tujiandae maisha bila Coutihno na kwa sasa kuna options kibao za kuziba pengo lake