Emmadogo
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 4,126
- 3,779
hapo ndio tutakakuta mwana si wetuTunamsubiri next year atakuwa free. Mkataba utakwisha.
hapo ndio tutakakuta mwana si wetuTunamsubiri next year atakuwa free. Mkataba utakwisha.
Mhhh bora, maajabu wamekubali kutoa hizo £70 basi na Van Djik kuna uwezekano wa kumchukua aiseh.keita amekubaliana person terms na lfc wages na 5 year contract meeen
hata vvd nae ni liverpool playr lakini atachelewa kusign pesa sio tatizo safari hii fsg wamepaniaMhhh bora, maajabu wamekubali kutoa hizo £70 basi na Van Djik kuna uwezekano wa kumchukua aiseh.
Hivi LB nae si inabidi apatikane au Milner atacheza nafasi ile ile next season?? Lakini napo game zitakuwa nyingi lazima apatikane wa kumsaidia.hata vvd nae ni liverpool playr lakini atachelewa kusign pesa sio tatizo safari hii fsg wamepania
kuna beki moja ya kushoto ya hull cty tumeshatuma maombi anaitwa andy .....(jina la mwisho limenitoka kidogo) natumai tutakubaliwaHivi LB nae si inabidi apatikane au Milner atacheza nafasi ile ile next season?? Lakini napo game zitakuwa nyingi lazima apatikane wa kumsaidia.
Aah kumbe, striker sijui watamsajili nani aiseh maana kila rumour inaishia kuwa rumour hivo hivo inapotelea hewani, ngoja tuone hii ya keita ikamilike kwanza.kuna beki moja ya kushoto ya hull cty tumeshatuma maombi anaitwa andy .....(jina la mwisho limenitoka kidogo) natumai tutakubaliwa
hiyo ni personal terms kwa mchezajiwamekubaliana toka juzi. sema jamaa watatukazia km walivyofanya roma ili tuweke mpunga 70 mezani. but i hope this guy will be there at anfield soonMhhh bora, maajabu wamekubali kutoa hizo £70 basi na Van Djik kuna uwezekano wa kumchukua aiseh.
Hii source yako n ipi?keita amekubaliana person terms na lfc wages na 5 year contract meeen
Let's hope so.hiyo ni personal terms kwa mchezajiwamekubaliana toka juzi. sema jamaa watatukazia km walivyofanya roma ili tuweke mpunga 70 mezani. but i hope this guy will be there at anfield soon
(the firm) hizo za chini chini sana na LP wameshamruhusu keita kuongea na lfc just a moment utaanza kuzipata huko kwakina jamesHii source yako n ipi?
Maana kinq James pearce hawajasema hii
Nimezipata mkuu(the firm) hizo za chini chini sana na LP wameshamruhusu keita kuongea na lfc just a moment utaanza kuzipata huko kwakina james
ya keita imeshamalizika hio kwa 90% mkuu kwenye striker klopp anamtumia firmino kama striker force no.9Aah kumbe, striker sijui watamsajili nani aiseh maana kila rumour inaishia kuwa rumour hivo hivo inapotelea hewani, ngoja tuone hii ya keita ikamilike kwanza.
Kumbe anaitwa Andrew Robertson hiyo habari ndio nimeisoma hapa.kuna beki moja ya kushoto ya hull cty tumeshatuma maombi anaitwa andy .....(jina la mwisho limenitoka kidogo) natumai tutakubaliwa
Aah kumbe, striker sijui watamsajili nani aiseh maana kila rumour inaishia kuwa rumour hivo hivo inapotelea hewani, ngoja tuone hii ya keita ikamilike kwanza.
Mkuu umesahau mfungaji hodariBora tuachane nae sisi tatizo letu kubwa ni beki viungo wapo tu akina Can, Wijnaldum na Henderson aje VVD basi tunakuwa tumemaliza kazi.
Unaridhika amtumie hivyo kweli?ya keita imeshamalizika hio kwa 90% mkuu kwenye striker klopp anamtumia firmino kama striker force no.9
Huyu dogo Flanagan msimu ule na Brendan Rogers tulipotaka chukua ndoo alikuwa vizuri sana na kikweli mchango wake ulionekana sema ndo bahati mbaya alipata jelaha lile form yote ikapotea, hivi msimu uliopita kabla ya kuwa loaned alicheza hata game moja chini ya Klopp?? Alikuwa vizuri sana bahati mbaya sikuwahi ona games zake wakati yupo loaned.Magoli 90+ ya msimu wa 2016/17 ni ishara tosha kuwa tuna striking force nzuri Ulaya yote tu... ndiyo maana kamuongeza dogo Dommy ili ajifunze na kukomalia kisoka pale.
Uzuri wa Liverpool fc wachezaji wa kikosi cha kwanza ni wafungaji ukiondoa Clyne, Migs na Karius( hawakufunga goli msimu ulioisha). Hii inaonesha nguvu ya ushambuliaji.
Kumpata Keita kwafaa zaidi kuimarisha ulinzi na ushambuliaji.
Beki wa kushoto bado kuna nafasi (ingawa ndogo) kwa Flanagan na Gomez (yawezekana usajili wa beki wa kushoto ukachelewa kwa sababu ya uwepo wao).
Ni mawazo yangu.....
shavu la kushoto Mane kumi Continho shavu la kulia Salah hio tisa hata tukikuweka wewe una score mkuuUnaridhika amtumie hivyo kweli?