Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

swan- sea
chel - sea
sio ndugu hawa

kazi kwa liva
majogoo ni mabingwa wa mini-ligi ya top 6 hadi hivi sasa tunavyoongea.
hakuna coach yeyote katika top 6 atakayemmudu Klopp (big match magician).
 
kule kwenye site ya Liverpool Echo kuna mjadala unaendelea kuwa Moreno awe converted kutoka full back kuwa attacking left winger. mchokoza mada ni Ian Doyle.

mwanzoni kuna baadhi ya wasomaji wamemponda sana Doyle lakini kadri mjadala unavyoendelea inaonekana kuwa inaweza kuwa option nzuri hususani wakati huu ambapo hatuna pace from wide kutokana na Mane kuwa AFCON.

pia wengine wanamtolea mfano Gareth Bale (Real Madrid) ambaye naye alianza kama left back.

Kopites wa JF mna maoni gani?

'As long as he stays 50 yards from our goal, put him in'
 
majogoo ni mabingwa wa mini-ligi ya top 6 hadi hivi sasa tunavyoongea.
hakuna coach yeyote katika top 6 atakayemmudu Klopp (big match magician).
Hivi ndivyo tunavyofanya

IMG_20170105_023447.jpg
 
majogoo ni mabingwa wa mini-ligi ya top 6 hadi hivi sasa tunavyoongea.
hakuna coach yeyote katika top 6 atakayemmudu Klopp (big match magician).
Aibu hiyo
Alafu msimu ukiisha ndio utakachojisifu nacho hicho
Wakati wenzako wananyanyua ndoo
Shame upon you
 
Wazee wa dahoud vipi mbona kimya? Dirisha ndio linaenda kufungwa kwani dahoud baada ya kuchomeshwa mahindi anakuja lini?

Pulisic habari zake ziko wapi? Nilisikia nae mnamsubiria
 
Cou ame-sign mkataba mrefu mpya leo

467ff4a72e42d8e49241fed9ee6b6f61.jpg


The 24-year-old dedicated his future to the Reds on Wednesday by putting pen to paper on a new deal, which will come into effect from July 1, 2017.

And Klopp feels Coutinho’s commitment is something that will delight everyone connected with Liverpool.

The manager told Liverpoolfc.com: “This is wonderful news and I know everyone associated with LFC will be delighted when hearing this today.

“I think everyone knows what a great footballer Phil is, that is not in question - but not everyone sees what an incredibly positive character he is and what a big influence he is on the dressing room.

“I knew of Phil before I came to Liverpool and I was well aware of what a talent he was, but since arriving here I have not only witnessed his ability up close, but also his ever-continuing development. He is truly world-class - in that very top bracket.

“The fact he wants to stay here and be part of what we are looking to build and develop shows his personal commitment is to make himself better and be an integral part of something that is very special.

“We have total belief in our project, but when a player of Phil’s calibre and status commits for this length of time it shows that our faith is shared throughout the game. He knows he can fulfil his dreams and ambitions here at Liverpool. This is a big statement.

“I look forward to seeing Phil create many more great memories and moments for this club.”
 
kule kwenye site ya Liverpool Echo kuna mjadala unaendelea kuwa Moreno awe converted kutoka full back kuwa attacking left winger. mchokoza mada ni Ian Doyle.

mwanzoni kuna baadhi ya wasomaji wamemponda sana Doyle lakini kadri mjadala unavyoendelea inaonekana kuwa inaweza kuwa option nzuri hususani wakati huu ambapo hatuna pace from wide kutokana na Mane kuwa AFCON.

pia wengine wanamtolea mfano Gareth Bale (Real Madrid) ambaye naye alianza kama left back.

Kopites wa JF mna maoni gani?

'As long as he stays 50 yards from our goal, put him in'
Nimewahi kujiuliza ni kwa nini wachezaji wengine wamewahi kujaribiwa katika nafasi tofauti lakini huyu dogo... pamoja na makosa yake yote kule beki hawajawahi kumjaribu winga ya kushoto...na dogo ana kasi ya hatari.
 
fc3ce7c2ec2d55850bfb0db0c6de7714.jpg


Klopp beat Neymar Jr. to the punch as the FC Barcelona attacker failed to convince Philippe Coutinho to join him at Barcelona

كلوب يتغلب على نيمار ومحاولات اقناعه لكوتينيو بالانضمام الى برشلونة.

[HASHTAG]#LFC[/HASHTAG] [HASHTAG]#Liverpool[/HASHTAG] [HASHTAG]#FCBarcelona[/HASHTAG] [HASHTAG]#klopp[/HASHTAG] [HASHTAG]#neymar[/HASHTAG] [HASHTAG]#coutinho[/HASHTAG] [HASHTAG]#omarmomani[/HASHTAG]
 
Jürgen Klopp: "Who thought that this season we had to be champions otherwise we cannot enjoy the season? How can I help this person? How? What can I do? We're still close enough to fight for nearly everything."
 
Jürgen Klopp: "Who can deal with a run like Chelsea have been on? We played them once and beat them so we're not responsible for their position. We did what we could until now. If you allow the circumstances to have that influence on yourself then it's pretty difficult for me."
 
Cou ame-sign mkataba mrefu mpya leo

467ff4a72e42d8e49241fed9ee6b6f61.jpg


The 24-year-old dedicated his future to the Reds on Wednesday by putting pen to paper on a new deal, which will come into effect from July 1, 2017.

And Klopp feels Coutinho’s commitment is something that will delight everyone connected with Liverpool.

The manager told Liverpoolfc.com: “This is wonderful news and I know everyone associated with LFC will be delighted when hearing this today.

“I think everyone knows what a great footballer Phil is, that is not in question - but not everyone sees what an incredibly positive character he is and what a big influence he is on the dressing room.

“I knew of Phil before I came to Liverpool and I was well aware of what a talent he was, but since arriving here I have not only witnessed his ability up close, but also his ever-continuing development. He is truly world-class - in that very top bracket.

“The fact he wants to stay here and be part of what we are looking to build and develop shows his personal commitment is to make himself better and be an integral part of something that is very special.

“We have total belief in our project, but when a player of Phil’s calibre and status commits for this length of time it shows that our faith is shared throughout the game. He knows he can fulfil his dreams and ambitions here at Liverpool. This is a big statement.

“I look forward to seeing Phil create many more great memories and moments for this club.”

kwenye EPL top earners Manure wapo kibao, sisi ni mmoja tu huku ligi tumemkalia......kweli Klopp is a genius!

upload_2017-1-25_16-52-41.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom