Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Ila hongereni na asanteni kwa kutimiza our wish!
Yours truly,
CFC.
Mkuu naamini Ujio Wa Coutinho na Mane Utaifanya Timu Yetu itulie na Kurudi Katika Form.. May be February.....
Kama unakumbukumbu nzuri Timu yetu Mwanzoni mwa Msimu ilikuwa inaperform well.. Na Kumbuka Kuwa Haikua Na Subs... Wanaoanza ndio Hao hao Mwanzo Mwisho na inaoofanywa Sub basi ilikuwa ni Moja tena aroud 88th minutes....
Timu ilikuwa Hivi ↓↓
Mgno
Clyne
Lovren
Matip
Milner
Hendo
Gini/Can
Lallana
Mane
Bibby
Cout
Sasa Klopp aliitengeneza hiyo Timu Kuwa ni ya Ushindani na yenye Maelewano na Pace...
Kwahiyo Kupungua Mmoja tu hapo ni Tatizo Kwa Performance ya timu nzima..
Sasa angalia Ndani Ya December Tumewakosa Wangapi hapo??
Almost February timu yetu Haitagusika tena pale itakapounganika tena Kikosi Kamili na Mane akiwa Kundini...... Hapo Tutarudisha Pace Yetu na Kutandika ile "Heavy Metal Football" kumning'inia Kaptula Chelshit......
My man of the match TRENT ALEXANDER ARNOLDMignolet ni "MAN OF THE MATCH" .... Jama Benchi Limempa Funzo sasahivi Namkubali 100% hasa Katika Mchezo wa leo Manake Katusave Sana....
Hapana mkuu majukumu tu hapa na pale ila huwa napita. Naona Pogba kaanzisha new dabSiku hizi umehamia Mkuranga kama
Malafyale
Timu kubwa haipimwi kwa mechi moja broh, labda kama unazungumzia ubora.ukiona timu moja inafurahia draw na nyingine inasikitika, ni rahisi sana kujua ipi ni timu kubwa baina yao!
You have been playing below your standard for 26 years nowTumecheza below our standards
Kama kweli klopp hakujua side effects iwapo atakapo kosekana mchezaji mmoja au zaidi basi anatatizo
Mmekuwa team y historia tu nowdaysYou have been playing below your standard for 26 years now
Kila timu inacheza mechi 19 nyumbani na mechi 19 ugenini ratiba iko fairTumebaki Na Michezo 17, Kati Yao 10 tunacheza Ndani Ya Anfield....
Huge Blow for other top 4 contenders..
Fergie alishaondoka misimu 3 imepita na bado hamjachukua ubingwaMmekuwa team y historia tu nowdays
Toka aondoke Fegie hata CL hamtacheza for decades
Take my words!
ukiona timu moja inafurahia draw na nyingine inasikitika, ni rahisi sana kujua ipi ni timu kubwa baina yao!
Maajabu mnayoota kuyafanya Leicester city ameshayafanya msimu uliopita so subirini labda miaka 20 ijayo mnaweza mkawa mabingwa kama ilivyokuwa kwa Blackburn miaka 20 na kitu iliyopita ila kwasasa msiote ubingwa kwa wachezaji wenu wa mia 200 200 kama Leicester city.Liverpool TUNACHUKUA ubingwa wa EPL
Mnaweza niona kama chizi leo lkn April mtakumbuka nisemayo
January 31 Chelsea namchapa easy kabisa
Chelsea kama mmemuona teams zimeisha jua plays zao
Hawezi toka kwa Liverpool,Everton,Man City,Man u na Arsenal