SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,803
- 25,449
Nani anataka kombe la mbuzi FA
FA ni ujinga tu na sio priority kwa Liverpool
Ndugu yangu King Ngwaba acha kujichosha bure kumuelewesha mtu ambaye ameshadhamiria kutoelewa.
Unadhani unayoyaongea hayajui? Au hayaoni?
Timu bado mbovu sana ..ni uwezo tu wa baadhi ya wachezaji ndo unaisaidia timu
Ndoumeandika nini iki.....???? Wachezaj kazi yao nini af kuna timu bila wachezaj?Timu bado mbovu sana ..ni uwezo tu wa baadhi ya wachezaji ndo unaisaidia timu
Wacha ubishi