Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool haiwezi kushinda EPL kama inakomaa kushinda vizuri kila mchezo, bila zile 1-0 na 2-1 za kuhesabu pointi 3 tu bado sana,
You guys pride yenu inawacost EPL miaka kadhaa now ,imezeni kidogo may be, may be , may be...mnaweza kuwa kama underdogs wa last season ,nice win today


Sasa Ndiyo umeandika nini???
 
Liverpool haiwezi kushinda EPL kama inakomaa kushinda vizuri kila mchezo, bila zile 1-0 na 2-1 za kuhesabu pointi 3 tu bado sana,
You guys pride yenu inawacost EPL miaka kadhaa now ,imezeni kidogo may be, may be , may be...mnaweza kuwa kama underdogs wa last season ,nice win today
Wacha wivu mtoto wa kiume kama timu yako haiwezi kufunga magoli kuanzia 3 na kuendelea usifikirie kila timu ipo hivyo safu ya ushambuliaji ya liverpool huwezi kuizuia isipate goli
 
Wacha wivu mtoto wa kiume kama timu yako haiwezi kufunga magoli kuanzia 3 na kuendelea usifikirie kila timu ipo hivyo safu ya ushambuliaji ya liverpool huwezi kuizuia isipate goli


Bora ulivyomjibu manake mimi nimeona bora nimpuuze tu!
Manake anakuja na tuhuma za kutochukua EPL wakati hapa hapana mtu aliyetaja kubeba EPL...
 
Roberto Firmino's place never in doubt after drink-drive charge - Jurgen Klopp


2016-12-28_08.02.54.jpg


ESPNFC: Soccer Roberto Firmino's place never in doubt after drink-drive charge - Jurgen Klopp
 
Wacha wivu mtoto wa kiume kama timu yako haiwezi kufunga magoli kuanzia 3 na kuendelea usifikirie kila timu ipo hivyo safu ya ushambuliaji ya liverpool huwezi kuizuia isipate goli
27 years and counting na safu yako ya ushambuliaji
 
Hooooooooooooraaaaaaaaaaay Redmen.

Bado City naye anastahili hukumu ya kifo.
Mentor Mbona ulitangaza goli moja tu?😀
😀😀😀😀😀......Kama kuna mtu mwenye chuki na LFC bora asiwe anafungua huu uzi, la sivyo atapatwa na brain hemorrhage in no time.
 
liver atachakazwa vibaya sana na city jumamosi, beki yao haipo sawa
 
liver atachakazwa vibaya sana na city jumamosi, beki yao haipo sawa

Stoke Walitufunga Goli La Kichwa (Mpira wa Juu) Baada Ya Mark Huges Kujua Weakness Ya Liverpool Kuwa Mabeki Wake Hawachezi Mipira Ya Juu (Cross) Kwa Vichwa, Na Kipa Wa Liverpool Hawachezi Crosses....

Kwahiyo Mark Huges Akatumia Advantage Ya Wachezaji Wake Wa Mbele Kuwa ni Warefu Kupenyeza Mipira Ya Juu mpaka Akatusua lile Moja Chini Ya Lovren Akimsindikiza Walter Kutubwikiza Nyavuni...

Lakini Kwa Mbilikimo Wale Wa City Sahau Kutumia Mipira Ya Juu...

Sterling, Aguero, Sane, Silver, De Bruyne Hawa Sijui Nani Atakaecheza Mipira Ya Juu Na Vimo Vyao Vifupi Kama Wacongomani....
Hawa Watalazimisha Pressing Jambo Ambalo Mabeki Wetu Ni Wazuri Wa Kublock Penetration Pass, na Kucheza Tackles...
 
Naona Makocha Wote Wa EPL Jana walijazana Anfield Kuja Kuangalia Soka Safi la Liverpool....

Na Klopp Kwa Matani bhana!! Eti "Mimi Sijawahi Hata Siku Moja Kwenda Uwanjani Kuwaangalia Man City, Lakini Gurdiola Kaja Kuiangalia Liverpool Kwasababu Kaja Kuona Soka Suri sio lile La Kubutua"...



PEP.jpeg
 
Naona Makocha Wote Wa EPL Jana walijazana Anfield Kuja Kuangalia Soka Safi la Liverpool....

Na Klopp Kwa Matani bhana!! Eti "Mimi Sijawahi Hata Siku Moja Kwenda Uwanjani Kuwaangalia Man City, Lakini Gurdiola Kaja Kuiangalia Liverpool Kwasababu Kaja Kuona Soka Suri sio lile La Kubutua"...



View attachment 451153
Moyes nae sijui kaja kuangalia nini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom