Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Mkuu unaposema stats za Hendo na Kante inawezekana zikagongana ndio unakosea zaidi,kama Kante ameshindwa kumfikia Mane huyu Hendo ndio hampati kabisa,just angalia hapa wewe mwenyewe hizi stats according to watu wanaojua mpira.
 
Cameroon confirm Matip
absence..

Cameroon have now confirmed that Joel Matip
has pulled out of their squad for the African Cup
of Nations.
The Liverpool centre-back will remain on
Merseyside.
In a statement released by Cameroon football’s
governing body, they confirmed that Matip is
unhappy with the previous regime.
 
Origi was a big disappointment tonight
Jamaa anafanya kazi kubwa wala usimponde kwa mechi kwa umri wake na kaziba pengo la mtu nazani ni bonge la mchezaji aminiwe tu
Sturigge husubili wenzake wafanye kazi yeye amalize lakini Origi hutoa jasho kwa jitihada na ukiangalia vizuri aliwekewa ulizi mkali kuzingatia na matokeo yake ya hivi karibuni
Origi mzuri kuliko ata lukaku ndugu ni maoni tu
 

Haya ↑↑ Sio Maoni (Opinion), Bali Ndio Ukweli Kabisa (Facts) wala Hujakosea Mkuu...
 
Klopp has identified Draxler, who is set to leave Wolfsburg, as a potential January target as he looks to boost his options (Paul Joyce)
 
Julian Draxler's agents, ROGON Sportmanagement GmbH & Co. KG, are also agents for Firmino and Karius.
 
Zaha kashacheza Manchester sioni wanazi wa liver kima kenny danglish wakimruhusu klopp kumnunua huyu jamaa.
Mkuu, Klopp ndiye mwenye maamuzi ya mwisho kwenye swala la usajili. Akimtaka mchezaji hakuna cha Daglish wala nani anayeweza kuzuia.

Hiki kipengele aliki enforce sana kabla hajasign mkataba wake liverpool
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…