Sturridge ndo kawa mzigo aisee. Mipira alikuwa anapoteza na hakabi kabisa. Kaniudhi sana leoWakuu nashukuru tumeishinda ila naona kama struridge kama haendani na kasi yetu vile.....au mimi tu macho yangu
Poor kabisa Lovren hata huyu Kipa simuamini najua wengi mmefurahia Mignolet kuwa bench ila mie bora yeye Simon!
Tupo huwa hatuongei wakati wa game only scoreboard talk [emoji41]Mbona mmekimbia hamjiamini?
Hahaaaa tulikuwa tunawavutia pumzi nyie tunawachanganya msitukaririHongereni bana ilaa[emoji40] ......
Unasema?Mbona mmekimbia hamjiamini?
OKUwezi waona walishajikatia tamaa
Exactly my observation.Unakuta Mane anampa kisha anatangulia nafasi nzuri ya mbele.Sturridge badala yakupress fasta ye anaupooza mpaka beki zinakuwa zimejaa.Tatizo ana washabiki royal sana....hawamwambii ukweli wao wanataka apewe afunge aonyeshe ubora wake!Wakuu nashukuru tumeishinda ila naona kama struridge kama haendani na kasi yetu vile.....au mimi tu macho yangu
Exactly my observation.Unakuta Mane anampa kisha anatangulia nafasi nzuri ya mbele.Sturridge badala yakupress fasta ye anaupooza mpaka beki zinakuwa zimejaa.Tatizo ana washabiki royal sana....hawamwambii ukweli wao wanataka apewe afunge aonyeshe ubora wake!
Aongeze bidii kwakweli ila kwa sasa naona hata kupewa game time anapendelewa tu.The manager is avoiding to be a discussion in brirish media