Asante Kop kwa Maelezo murua....unajua kipindi hilo tukio linatokea nlikuwa under 5 years of age....Mkuu watu wa jiji la Liverpool hawanunui the sun,hakuna manager wa liverpool anayefanya interview na the sun hata mchezaj haruhusiwi,juzi hapa Kina Thompson na Mwenzake ambao ni fans wa liver walikuwa wanafanya kazi kituo cha talk sport wakajiuzulu baada ya Mmiliki wa the sun kuwa ndie major shareholder wa talk sport so ukiwa Kama fan wa liver hutakiwi kusoma the sun au Kulisifia hata kuliongelea,
Yani wale the sun ndio walio report kuwa mashabiki wa liverpool wenyewe ndio walianza kukanyagana wenyewe katika tukio la Hillsborough Mwaka 1989 katika yale maafa wakati Polisi ndio waliofanya mpaka jamaa wakanyagane tena jamaa wakapigania kabisa ya kuwa Polisi hawakuwa na hatia hii kitu Iliwaumiza sana Liverpool hivyo sio liverpool wala Everton anayenunua gazet la the sun katika mji wa Liverpool
Mie huwa naangalizia kwenye Liverpool Tv chanel namba 403 kwenye kingamuzi cha AZAMSidhani kama kuna tv za bongo zitaonyesha. Ntakupa link muda ukifika.
Match inapigwa Wembley England
2-0 inachoona wachezaji wangepumzika kwa leo, mechi ya jana alikuwa kazi ndogoGame yetu na mainze 05 inaedelea tumefungwa moja hadi dk hii ya 35
Bifu ni la zamani ukifuatilia ambapo mie mambo mengine naachia pembeni, ila Gazeti la Sun liliandika vibaya kuhusu waliokufa mashabiki wa LFC! TheS*n pia si LFC lishamuuzi Rihanna na wengi tu na lishawahi kushtakiwa mpaka gazeti lao la Jpili kufungiwa News of the World ambalo mmliki ni Myahudi Billionea Mardoch! pia Thesun lishawahi kusikiliza simu za Sir Alex za Rooney na Leo wameendika story ya Mke wa Lovren ku cheat na jamaa wake wa zamani demu wakati wana 16 huko Crotia! pia kuna jamaa aliwashtaki Thesun kwa kumtumia kama Fake mwarabu ili afuatilie Rio Fredinand Holiday wakawa wanampigia vipi umepata video au au pic ya Rio na wenzake hao ma black kama wanavuta Bangi? jamaa alibafili uchunguzi baada kuona Rio mtu freshi na kamualika kwa roho nzuri ila gazeti lilikuwa kibaguzi.Nini kilitokea mkuu mpaka kupelekea bifu hilo?