itakuwa Gazeti la Bingwa au Risasi la Tanzania tehteh ila Jamaa Hector ni mkali wafanye aje.source????
tazama Dortmund alichokua anafanya...ΒΏ!Klopp anasajili hata wale msiowategemea wala kuwajua tegemeeni sajili za kushangaza (surprise) kwa klopp.
Klopp alikuwa anachukua watu wasiojulikana na kufanya wajulikane Mara ya mwisho LFC ilisaidia kwa mtu kama Xabi Alonso na Luis Garcia na Pepe Reina siogopi sana ila tuki sign Higuain basi nitakula Viatu vyangu vya Ngozi bila Maji.
Nimetoka kuikodoa hii taarifa mda,..Picha ikioneshwa mda akitoka,..
Klopp analeta watu wa ukweli sana!
Ubingwa wetu mwaka huu lkn kutakuwa na MANAGERIAL BATTLE
Huku Klopp,kule Mo,kule Conte,Kule Pep na kule ajuza Wenger
EPL ianze sasa
Kwa huyo Hector inasemekana pesa haijatolewa wala maongez acc to Cologne [emoji22][emoji22]
where,to us or elsewhere...?!he'll move baada ya Euros..
I dont know, itategemea na perfomance yake kwenye euros.where,to us or elsewhere...?!