The MoNA
JF-Expert Member
- Sep 19, 2014
- 4,264
- 10,503
Hihihihihihiiihhhiihihihh,.alafu co kupigwa tatu tyuu 3-0,tulipigwa kipuuz puuzi na kitoto toto kwa ajili ya bogdan since there ana enjoy kuchoma mahindi tyuu...Wachezaji kama kina Bogdan wale, Klopp atakuwa anashangaa sana wamefikaje Liverpool..
nakumbuka kuna kipindi tulikuwa tunalia Migs apigwe bench adake Bogdan, bwana Bogdan akapewa nafasi ile game dhidi ya Watford, hahahaha, Tukapigwa 3-0..hahahahhahaha..