Press conference at Melwood leo:
Jk- kuhusu D15 Hakuna Jipya,,, anafanya mazoez peke yake,,,
Anahitaji kuwa vizur zaidi msimu huu na hicho ndo tunachojaribu kufanya,,,, sio kitu kizur unapokuwa na majeruhi ya mara kwa mara,,,,,, hivyo tunajitahidi kulimaliza tatizo kabisa
Kila mtu humu anajua kwamba Daniel ni bora kuliko mimi,,, hakuna shaka juu ya ubora wake,,,tunahitaji kufanya kazi pamoja ili awe fiti kabisa,,,
Hivyo hatocheza kesho na bila shaka kabisa hatocheza pia dhidi ya Leicester,,,
Jk- kuhusu usajili tuko bize kuhusu hilo,,, tunaangalia uwezekano,,,, kama kuna kitu kitatokea tutaona,,,, kwa sasa sina cha kusema,,,,
Niko poa na hiki kikosi,,, hakuna tatizo,,,, tatizo pekee ni majeruhi tu,,,,
Jk- kuhusu kikosi kitachocheza kesho "Itakuwa ni team tofauti kwa Kweli,,,, ni upande wa Vijana kwa mara nyngine,, kuna baadhi ya wachezaji wamekimbia km 17 mechi iliyopita,,, "
"Tutafanya mabadiliko kwasababu tunataka kushinda mechi,,,, mechi iliyopita dhidi ya Exeter Vijana walifanya kila kitu kwa ufasaha "
Jk- "team imeonyesha kutokata tamaa kwa wiki zilizopita "
Jk- "kucheza kila baada ya siku 3 ni ngumu,,,, ndivyo ninavyoweza sema!,,,,, unasema chukua kikosi Kikubwa,,, lkn huwez nunua kisha majeruhi wanarejea "
Jk- "Lovren amerejea,,, Caulker yupo,,,, Cotinho yuko jirani kurejea bado anaendelea na rehab,,, Clyne kuna uwezekano akawepo,,,,anaendelea vzr "
Jk- "Henderson anajitolea sana kwa ajili ya team,,, alikuwa nje kwa mda mrefu na bado anacheza na maumivu,,,,,, ni kiongozi sahihi kabisa "