Klopp anatakiwa kua ruthless kama alivokua rafa ili afanikiwe liverpool otherwise atakua german version of brendan RodgerAkiendelea na hawa wachezaji wa Rodgers msimu ujao, CV yake yote itaharibika.
HAKUNA ugumu hapo kop edItakua ngumu sana hii transition mkuu
Kuokoka ndio wanategemea wakaenda chini Tu wanategemea kujenga uwanja watu 60,000 huo WA elfi 40 tabu kujaza Wao, wakashuka uchumi Wao Arsene Wenger atawasaidia kuwajengea uwanja WA watu Elfu 20.Chelsick mnategemea nini?
Hahahaha umenifurahisha sana aisee. Kwani benteke ana shida gani mbona hivi?
Kuna jamaa alisema mapemaOnly Sakho, Can, Coutinho, henderson, clyne na Moreno ndiyo wanastahili kubakia LFC.
Benteke hafai kwenye filosofi ya Liverpool ni kama Fellaini pale kwetu
Ndo mchezaji wenu tayari. Wakati anasajiliwa mashabiki walifurahi. Kuna rafiki yangu nilimwambia huyu benteke sio wa kuchezea liver kabisaHuyu mtu bora hata ya maguli ...... Siamini kama yupo LFC kuna muda huwa nahisi ni ndoto ........ Β£32m too waste of our pride
HAKUNA ugumu hapo kop ed
Naona Leo mmepata kibonde cha kujipigiaPoleni redds wenzangu siku hazilingani....
Ndo mchezaji wenu tayari. Wakati anasajiliwa mashabiki walifurahi. Kuna rafiki yangu nilimwambia huyu benteke sio wa kuchezea liver kabisa
Mhhhhh!!!! @Ed n Edd nEddy embu mueleze huyu chalii jinsi gani kina Gomiz walivyotutesa aiseee!!!! Huwa siisahau ile picha uliyoiweka mtani!!!!....lolNaona Leo mmepata kibonde cha kujipigia
Lile goli zuri aiseeeTangu aje LFC nilishangilia goli alilowafunga tu (my best clockwise kick this season)
Mhhhhh!!!! @Ed n Edd nEddy embu mueleze huyu chalii jinsi gani kina Gomiz walivyotutesa aiseee!!!! Huwa siisahau ile picha uliyoiweka mtani!!!!....lol
Teh Teh mtani lkn Ukichunguza vizuri hizi timu tofauti yake ni majina tuMhhhhh!!!! @Ed n Edd nEddy embu mueleze huyu chalii jinsi gani kina Gomiz walivyotutesa aiseee!!!! Huwa siisahau ile picha uliyoiweka mtani!!!!....lol
mdogo wako Coutinho inaonekana anamchukia sana Benteke,Kuna jamaa alisema mapema
Kuna wakati unaona wachezaji wote hawafai kuchezea liver basi ndo kama leo Moreno leo anaacha jukumu lake la kukaba anaenda kushambulia tukipigwa Counter krosi inatokea upande wake
Mkuu umenichekesha sana leo Teh Teh ukweli mchungu huomdogo wako Coutinho inaonekana anamchukia sana Benteke,
Hahahhahahhaaha mtani leo itabidi uiedit uonyeshe leo tunalizomea lenyewe...Hahahha mtani umenifanya nicheke wakati nina hasira ...... Ngoja nikaiweke tena πππ ....... Hongera kwa point 3 mtani .... Heri ya mwaka mpya
HahahAha mtani tafadhali nitoe kundi hilo mimi simooo.....Teh Teh mtani lkn Ukichunguza vizuri hizi timu tofauti yake ni majina tu
West harm
Liverpool
Soton
Stoke
Everton.
Man u