Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

itakuwa ni biznec nzuri sana hiyo lakini Moreno itabidi abakie tu LFC, watuache na dogo wetu

Dogo yupi?, hizi timu kubwa za soain zikitaka mtu ni ngumu kuchomoa ni rahisi kumpata casemiro na tuhela tu chache kuliko kumbakiza moreno anayetakiwa na madrid ila mi naona kuna nafasi kubwa ya kwenda barcelona maana zile fullback zimechoka alves umri ndo huo umeenda na alba spana mkononi

Moreno will be ideal solution kwa barca kuliko madrid, madrid kuna carvajal, danilo na yule chizi wa kireno waliyemtoa kwa mkopo
 
Dogo yupi?, hizi timu kubwa za soain zikitaka mtu ni ngumu kuchomoa ni rahisi kumpata casemiro na tuhela tu chache kuliko kumbakiza moreno anayetakiwa na madrid ila mi naona kuna nafasi kubwa ya kwenda barcelona maana zile fullback zimechoka alves umri ndo huo umeenda na alba spana mkononi

Moreno will be ideal solution kwa barca kuliko madrid, madrid kuna carvajal, danilo na yule chizi wa kireno waliyemtoa kwa mkopo

Madrid wamekuwa wakimtaka Moreno tangu yupo Sevilla, Me kwa upande wangu naona Moreno mwenyewe hatakuwa tayar kuondoka kwa sasa, bado hajafikia hata kwenye peak ya kiwango chake, he's just improving kila siku..

Me nadhan Mchezaji anakuwa tempted zaid kuondoka kabla club inakuwa haiwin mataji au haina mwelekeo wowote, na Agents ndo huwa wanachangia sana moves za wachezaj pale wanapoona kuna hela nyingi..sidhani kama Klopp atamuachia mapema, Wolfsburg kuna yule dogo Ricardo Rodriguez naona Barca/madrid wanamtaka pia, ile ndiyo itakuwa ni option nyepes zaid kwao kuliko kwa Moreno, coz ndo kwanza Klopp anakisuka kikosi chake, so itachukua muda kidogo kumruhusu dogo aondoke.
 
Wanaudhi sana kwa kweli...naombea Klopp akomae dogo asiondoke tujenge timu.
At least by 2017/18 tubebe UCL tena!

sidhani kama Klopp atamuachia anytime soon, hawez kuondoka sahiv wala miaka ya hivi karibuni unless wakileta hela nyingi..
 
Aisee naomba asiondoke kabisa. Dogo mtamu sana yule. Namuona mbali sana siku za usoni. Hivi hakuna club inamtaka Mignolet?
 
Aisee naomba asiondoke kabisa. Dogo mtamu sana yule. Namuona mbali sana siku za usoni. Hivi hakuna club inamtaka Mignolet?

Moreno sidhan kama ataondoka anytime soon Aisee,

hahahahah, Migs akiwekwa sokoni atauzika tu, Mid-Table teams kibao zitamchukua, but acha abakie kuwa our 2nd choice GK, Klopp ni admire wa Karius/Horn/Leno mmoja wao kati ya hao akija, nadhan atakuwa moja kwa moja our 1st Choice GK, 2nd Choice awe Migs, 3rd choice awe Bogdan, Migs HANA QUALITIES ZA KUWA OUR 1st CHOICE GK.
 
Rodgers na wenzake walimpeleka kwa mkopo huyu dogo League ya Finland, hahaha

He trained with the first team today..
ImageUploadedByJamiiForums1448663689.576640.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1448663764.019465.jpg
 
Lol, klopp kwenye his pre-match presser kasema "sturridge has to learn what is "serious pain" and what is "just pain"..
 
And, with Lucas suspended, Allen is expected kuanza sambamba na Emre Can game ya swansea..
 
Mamadou Sakho is ahead of his schedule, he's expected kurudi within 4-6 weeks
 
Sturridge anaboa sana jamaa, nakumbuka ile game ya Manchester utd pale Anfield msimu wa 2013/2014, kipindi kile Suarez alikuwa suspended, na Sturridge alikuwa analalamika majeruhi, SG had to force him to play that game and he scored the winner..now you cant expect Milner or Henderson to do that, we've got 2 shit CAPTAINS..
 
SPEAKING OF LUISITOOOOO, DAMNNNNNNNN

ILE ?75m INAONEKANA KAMA BARGAIN KWA BARCELONA..ABSOLUTELY STEAL.
 
Jurgen Klopp's first 9 games.

1. 5 wins
2. 3 draws
3. Lost only 1 game (crystal palace)
4. 15 goals scored and only 7 goals conceded.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom