Am very happy to see you again, welcome......we are ready for challenge hope this season will be a wonderfull season ,zimebaki point zetu tatu kutoka kwenu......lolOur opponents get readyyyyyy, its a war against Jurgen not BR anymooo.........ha ha ha ha ha ha ha ha
You Will Never Walk Alone ##JurgenKloppfortheKops.
Naamini Klopp atakuwa anasubiri nafasi ya Wenger msimu ujao.Anyway lolote laweza kutokea katika hii biashara
Brendan Rodgers ndio anamsubiri Wenger aondoke
Vipi wadau mchakato wa kocha kwa mnavyoona tutaangukia kwa yupi kati ya hao?
JK tu hakuna mwingine wameshakubaliana kila kitu na wanasubiri ijumaa wamtangaze, ingawa natamani angekuja CA
LFC FANS, msiamini kitu chochote kile ambacho mnasoma kwenye magazeti au kuangalia kwenye Tv stations mbali mbali AU kusikiliza kwenye magazeti.
UKWELI NI KWAMBA, JURGEN KLOPP NDIYO KOCHA MPYA WA LIVERPOOL FOOTBALL CLUB.
ANAWEZA AKATANGAZWA NA CLUB KESHO ALHAMIS NA KAMA SIYO KESHO BASI ITAKUWA NI IJUMAA, LAKINI KESHO NDIYO KUNA UWEZEKANO MKUBWA SANA AKATANGAZWA KAMA KOCHA MPYA WA LIVERPOOL FOOTBALL CLUB..
JK tu hakuna mwingine wameshakubaliana kila kitu na wanasubiri ijumaa wamtangaze, ingawa natamani angekuja CA