Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Oowww kumbe Manga ML yupo humu...
Pole sana Manga ML karibu Manchester united..
Peace ama vepeee
 
Last edited by a moderator:
Halo baby iiiiii tu.. tumefungwa baby.. inaumaa uwiii ngoja nitakupigia baadae nimalizie kulia. Cc Manga ML
 

Attachments

  • 1440867199248.jpg
    25.8 KB · Views: 111
Last edited by a moderator:
Duh poleni mashabiki wa humu ndani, mmefanywa vibaya leo!
 
Hivi mamy unajua wamelimwa na red card lol.
Ngoja nikavae sweta nije nikeshe humu

Mummy leo hakuna kisingizio kwamba walikuwa kumi ngoma ndroo kumi kwa kumi, halafu pacha hili jukwaa la watu wazima usikute unamcheka daddy wako....lol....tuwasamehe tu kwa leo ila kuna Mmoja huyooo sijui kajificha wapi walahi!!!!!
 
Mummy leo hakuna kisingizio kwamba walikuwa kumi ngoma ndroo kumi kwa kumi, halafu pacha hili jukwaa la watu wazima usikute unamcheka daddy wako....lol....tuwasamehe tu kwa leo ila kuna Mmoja huyooo sijui kajificha wapi walahi!!!!!

Inawezekana maana wazee ndio wanashabikia loserfool kama baba mwenye nyumba wangu kanunaa anadai kodi usiku huu huu
 
Inawezekana maana wazee ndio wanashabikia loserfool kama baba mwenye nyumba wangu kanunaa anadai kodi usiku huu huu

Hahahahaha leo unalo halafu ni CCM pia Mbona leo utafukuzwaa!!!! Toroka ujeeeeeee
 
raheem alijua mapema akibaki liva ndoto yake haitotimia ndo maana kanyatuka na mapemaa kabla umri haujamuacha hongera kwake poleni wana liva wote

Hii ni kweli,niliamini angeondoka kocha raheem angebaki.
 
nina bahati mbaya hata kipigo cha leo sijakiona vizuri, BR ame-accelerate ugonjwa wangu ila usitucheke maana bado una mlima wa kupanda kwa swansea kesho ayew si mtu mzuri
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…