Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nlikuwa najadiliana leo na mshabiki kindakindaki wa liver nakumuuliza kuwa "hivi huwa mnatumia kigezo gan kusajili??" akasema hana jibu maana anaona ni kama vile kocha na benchi lake wamepanic...
 




attach]273130[/attach]
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1438552539.072254.jpg
    36.3 KB · Views: 69
Yeah, ndo katoa Assist ya Benteke, aliingia dk ya 13 baada ya Allen kuumia..

Huyu Allen angeumia kabsaa maana atasababisha wacheza wanaosataiki wakose namba huyu dogo mtasaaa apewe nafasi mechi ya juzi nimeona mwingine mipira michache alogusa nae nimemkubali sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…