Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Benteke..
ImageUploadedByJamiiForums1437636108.965263.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1437636132.738853.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1437636221.218270.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1437636244.644524.jpg
 
Liverpool have 8 strikers
1.Benteke
2.Origi
3.Balotelli
4.Sturridge
5.Lambert
6.Borini
7.Firmino
8.Ings
I guess Brendan Rodgers will play the 1-1-8
formation ., lol
# RodgersNeedToGoForMedical .
 
  • Thanks
Reactions: Nzi

True. Comolli is just stating the obvious.

But swali..... kwa nini anakuwa so reactive? Angeyasema haya around last April/May mimi ningemwona wa maana, otherwise he should leave our LFC alone.

Kinachonipa consolation ni kuwa if the team doesn't perform by December, BR will be a goner!
 
Last edited by a moderator:

Damien comolli was sacked baada ya kumsign Henderson kwa £21m, pia yeye na Daglish ndo walimsajili Caroll kwa £35m, Charlie Adam, Downing, Coates, Doni etc. bar Henderson (bahati kwake) wote hao waliflop vibaya...yupo right kuhusu last summer biznec, lakin siyo kwa summer hii, kwa sasa LFC wamesajili vizuri, coz usajili wote wa safar hii umefanywa kwa maeneo ambayo tulikuwa dhaifu last season, naelewa kama fans tunataka tuone kina Matuidi, Verrati, Pogba etc wakija LFC, lakin kiukweli HAIWEZEKANI kwa sasa, lakin kwa usajili wa sasa tume-manage kusajili Top targerts zetu zote na ambazo ni UPGRADE KUBWA, tofaut na last summer, Clyne (one of the best 3 RB's in the EPL) ni Upgrade kubwa sana kwa GJ and Flanno, Milner ni upgrade kubwa sana kwa Joe Allen kama CM, Firmino ni Upgrade kubwa zaidi kwa Lallana, Sterling, Markovic etc, Benteke ni UPGRADE kubwa kwa Balotelli, Borini and Lambert, then you have 3 squad players kama Ings, Origi and Bogdan....Me ni mmoja wa mashabiki ambao walikuwa against na Benteke kuja LFC na mpaka sasa bado sjakubaliana na usajili huu (ukizingatia ni £32.5m) but as a LFC fan ntam-back kila mchezaji atakayevaa our famous red jersey na always nitakuwa namuombea mema zaidi ili ashine zaid akiwa na jersey ya LFC.
 
Last edited by a moderator:
Liverpool have 8 strikers
1.Benteke
2.Origi
3.Balotelli
4.Sturridge
5.Lambert
6.Borini
7.Firmino
8.Ings
I guess Brendan Rodgers will play the 1-1-8
formation ., lol
# RodgersNeedToGoForMedical .


Borini, Lambert and (Balotelli) wanaondoka this summer, Borin and lambert ni ndani ya hizi week 2, umeona benteke jersey aliyopigia picha ina Number? Coz atavaa number 9 ambayo anaitumia Lambert kwa sasa,

Afu kitu kingine bro, Firmino siyo ST ni AM..

So next season tutakuwa na Striking force ya 4 strikers, DS, Benteke, ings and Origi, ambapo first team ST's ni DS na Benteke, Ings and Origi as backups..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom