Opinion za fans ziko hivyo but mawazo ya Rodgers ni tofauti kabisa angalia usajili wake hii misimu mitatu ndio utaona ugumu wa kusajili hao wachezaji unaowasema.Otherwise labda kama atabadilika
Wakuu hivi uyu DS si wa kumuuza aisee?Nahis kama akipata injury mbili tatu nxt season anaweza hata kustaafu akiwa bado kijana.
Belo bebeni Depay huyo ndugu zangu, Nyie mna Di Maria tayari, so kuwa na Depay hakutaathiri mipango yetu, si wenye kina Sterling tunahitaji Established Players zaidi.
mr.wise and Janjaweed naona PAUL JOYCE anasema tumekutana na Depay leo, MAN UNITED and PSG (blanc) should act faster, kwanza anaendana sana na mpira wa LVG, huku dogo wa watu asije akachezeshwa RWB bure!
We Got a SHITTY COACH Mr Memphis, you should stay away from that nonce!! And LFC pia!!!
Dah, stung by his mokery aiseee.
Kasahau kua kaweka record ya kua manager wa LFC 3 seasons with no trophy. BR ni Mwl mzuri but he is an Egoist.
Ha ha ha ha ha wenzie walituletea vikombe na bado walikua sacked. Basi tu ana bahati sana ndoa yake na FSG inawapa FSG wanachokihitaji.BR analalamika mpaka Huruma!!!
View attachment 246515
Katudharau kweli ndugu yetu!!
Bill Shankly angekuwa mzima sijui angejiskiaje na hayo maneno!!
Manager anajisifia kwa kuwa/kumaliza number 5, baada ya kumaliza nafasi ya PILI last season na kutumia over €120m summer iliyopita.
Ha ha ha ha ha wenzie walituletea vikombe na bado walikua sacked. Basi tu ana bahati sana ndoa yake na FSG inawapa FSG wanachokihitaji.
Mkuu, may be sabab alizoea Swansea kule nafasi ya saba na ya nane ni kufanikiwa. Plz BR wake up ths is LFC tumia pesa vzuri ili ubring back our glory days.
United wametupiga bao kwa Depay... wacha tuhangaike na Bolasie na James Milner
BR analalamika mpaka Huruma!!!
View attachment 246515