Tusali na kufunga jamani!Wembley si sehemu ya mchezo hata kidogo
Dada yangu everlenk anaweza hadi watoto wake wakaanza Secondary team yake haijakanyaga Wembley
Hahahaha kaka yangu bana!! Tumerudi kwenye form vitu kama hivi vitakuwa vidogo sana kwetu, kama kawaida ninalia na Mwenyezi akufute machozi yako usahau uchungu wako...... Kila la heri bro....
Dan arudi August fit,kwa sasa League kwake tuhesabu kama imeisha
Bad news:
Lucas Leiva ruled out of FA semi final,daaah hili ni pengo kubwa sana
Tuzidi kusali na kuomba
Kwanini mkuu
"Reports say that the Brazilian suffered a THIGH injury in training Friday and could be out for the next fortnight"
www.soccernet.com
Tunashukuru kwa sala zako ingawaje sidhani kama nyie mtacheza Wembley kwa miaka ya hii karibuni
Mwakani tupo......
Leo humu kumepoza sanaaa si kawaida yenu yaani mmekuwa hovyo hadi mashabiki mnaiogopa timu yenu....lol
It's all Villa.
Moreno na Allen ni takataka za kutupa next season.
Moreno mzuri sana,apewe mkataba mrefu.
Allen aondoke
Mwakani tupo......
Leo humu kumepoza sanaaa si kawaida yenu yaani mmekuwa hovyo hadi mashabiki mnaiogopa timu yenu....lol