Kimbley
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 3,050
- 2,104
Yani Diamond sio muongeaji kabisa ukicompare na maneno au njama mbovu anazofanyiwa huyu kjana ad sometimes nasema anaUvumilivu sana yy ni kazi tu ndio zinatoa majibu" cjawah ona karopoka ujinga zaid ya maneno anayowekewa tu, anajua kujielezea kwenye media sana pia.
kwanza ameambiwa neno gani la kashfa jokate leo?!sijaona neno baya aliloambiwa zaidi ya mtanyooka tu!nashangaa amejiongeza maswali na majibu kibaoo
Anajiuliza mwenyewe,anajijibu mwenyewe,anashangaa mwenyewe na kujionea huruma mwenyewe