barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,802
laivu ya nini hiyo? he is a best looser
Acha chuki, hadi wa kwenu anafanya vizuri bado unachukia?? Kazi tunayo!!
laivu ya nini hiyo? he is a best looser
Watanyooooka tu na bado, basi utasikia watu wanasema dai kapata tuzo kaanza shombo zakejokate insta huko amepewa bonge la bango na chibuu
Mkuu ulivosema diamond kaibuka kidedea nikadhani amechukua tuzo kama NNE hivii
Kwa s<script id="gpt-impl-0.09385141455282058" src="http://partner.googleadservices.com/gpt/pubads_impl_63r.js"></script>asa Diamond ndio msanii anayetoa video kali na zinazopendwa kuliko msanii yoyote kwenye ukanda wa Africa mashariki na kati .
Ni msanii anayeongoza kuingiza pesa nyingi kupitia social media kuliko wote Africa.
Ndio msanii anaeongoza kwa video zenye viewers wengi kwa sasa Africa yote .
Ndio msanii anaeongoza kwa show zenye mvuto zaidi kwa sasa,haswa upande wa kucheza Africa yote.
Ndio binadamu- anaeongelewa kuliko binadamu- wote ukanda huu wa maziwa makuu.
Girlfriend wake Zarithe bossylady ndio mwanamke anaefatiliwa na kuongelewa kuliko mwanamke yoyote East Africa.
Mtoto wake Chibu Junior ndio mtoto anaesubiliwa kwa hamu kuliko watoto wote Africa na hii ni kabla ata ajazaliwa. Ndio mtoto anaeongelewa zaidi ,amevunja rekodi ya mtoto supastaa Sasha wa Sugu na Faiza .
Dancers wake ndio madensa wanaotengeneza pesa ndefu kuliko madensa wote Africa. Wanatengeneza pesa kuliko mastaa wengi tu .
Mpiga picha wake professional kifesi ndio mpiga picha aliyepiga picha nyingi zaidi msanii tangia nchi ipate uhuru . Na ndio photographer aliyesafiri nchi nyingi zaidi kushinda ata issa michuzi- ,ameshagonga passport tisa mpaka sasa.
Huyu ndio Diamond chui wa tandale.
Ni msanii wa kipekee tangia nchi kupata uhuru aliyepata mafanikio ya aina yake.
Ndio maana kila anachogusa Diamond Platnmz kwa sasa kinageuka almasi.
Team wema, kiba wote Kimya
jokate insta huko amepewa bonge la bango na chibuu
Watanyooooka tu na bado, basi utasikia watu wanasema dai kapata tuzo kaanza shombo zake
kumbe watu kama Jokate wanadeserve hizo shombo
nimependa hilo shushu la diamond
jokate insta huko amepewa bonge la bango na chibuu
Watu kwa kuchangamkia fursa wapo vizuri, wanataka wakampasulie yai
Akaungana na zingifuri teh, wakati ye alivopata dili ya wachina dai akapost kumpa hongera, alivotoa wimbo wake dai akapost tena kumpa hongera....ahahahahahaaa!!!!ngoja awape dozi kidogo maana walizidi kumkalia kooni mtoto wa watu!jokate aliongea shit sana kipindi kile cha ktma
Hahaa mtalaka kakubali kiaina....kwahiyo kwa kiba yupo kma mchezaji ambae kauzwa kwa mkopo ikihitajiwa mda wowote anarudi kwenye timu yke
Tuzo ya unenguaji na uanamziki bora ipi nzuri na ya heshima? Tehe teheeeeee
Ndio maana kila siku nasema Allykiba hana mashabiki wa kweli wengi,wako wachache sana wenye mapez nae ya kweli, bali ana maadui wa diamond,wote waliomshindwa diamond na wavivu wa mziki wameenda kujificha kwa kiba!!
King kiba na wema sepetu + Jokate=OO
Hatimae karata yao yamwisho kiba imeshindwa
Akaungana na zingifuri teh, wakati ye alivopata dili ya wachina dai akapost kumpa hongera, alivotoa wimbo wake dai akapost tena kumpa hongera....
nimependa kwakweli