lady nyatu
Member
- Jul 29, 2014
- 98
- 40
mbona sikukuona humu ukiwasema hao waliokuwa wanaongea kwenye redio na magazeti kuwa wamesaidia Diamond asipate tuzo? yes huyo Jokate na wenzake mbona haukuanzisha uzi humu kuwakanya
Sababu nae Diamond anaandika yake mnanyanyua vidole na midomo, mumuache na maisha yake acha awajibu kwani yeye anathamani kubwa zaidi ya hao wote weka pamoja.
Kama Kuringa hata wewe lazima kuna waonsema una nyodo au? kama hauna basi jipange.
Eeeeeeeh na upite kimyakimya hivo hivo..
Asante chibu kwa kunirekebishia saa mbovu hizi
MTANYOOKA TU
Hebu soma tena vizuri nilichokiandika mama, weka hisia pembeni na utaona siko against Diamond wala yeyote kama mnavyotaka kuamini. Nimetoa ushauri tu kama MTanzania mwingine yeyote anayefurahia mafanikio ya kijana wetu, jinsi gani tunasonga mbele. Hakuna mahali nimezungumzia yeyote kuringa, acheni hizi habari bana.
Nimesupport Jamaa mara kadhaa, kwenye nyuzi kadhaa, majukwaa kadhaa, kama hukuona bahati mbaya.
Narudia tena, soma vizuri nilichokiandika kwenye comments zangu tafadhali.
ngoja niwasiliane na wadau wanitumie pichaAcha kukurupuka wewe Tupe chanzo cha habar na picha za hao waganga mbona hautaki kumkubali diamond unaanza kuzusha uongo et waganga south Africa. Nenda Kajipange acha ushamba .diamond kashinda kwa uwezo wa mungu na bado mbona huu ni mwanzo tu. Kama hautaki kale malimao
Weka picha za hao waganga
msisahau na furaha furaha hizi kuna tuzo za Uganda Entertainment Awards huko instagram unampigia kura kwa kuandika hivi chini ya picha ya Diamond saka zote uandike zihesabike
#UEADIAMOND
chini ya picha/video yake tu kwenye account ya hao wa jina hilo juu.
Kidingi za marekani pia zimo humu niite nije nipatie link humu nianze piga mie, aksante.
Diamond Ni Msanii Wa Tanzania Au Nigeria
hapana mkuu, ni kuvaa moka stejini kama kiba ndio maana wamemnominate na kumpanga atumbuize king kiba
Jamaa akipata tuzo hata 1 mi naenda posta nikiwa utupu.
Watu presha tu sahivi... #haters
team davido na uchawi wenu tunawashukuru sana kwa kutupa hasira za kupiga kura zaidi
Wamechoka wamelala kabisaHahaaaaaaaa washakaa
* Congratulation to Diamond..I voted many times and I believed against all odds utakuja na even one tuzo back to our country...and you've made it...you've made us all proud...
* Wanafiki waliponda sana, things like operesheni vote for davido ili tu kuangusha muziki wako, lakini you've shown once again kwamba hata kama walibana KTMA ili uonekane hujui,whole continent watching your music proved that you are talented and you deserve an award....
* Mashabiki wa #TeamStress wamedoda, umewaziba mdomo, hawana jipya, wanaishia kukupongeza tu...wamekuwa wapole hadi huruma....#UnafikiHaulipi