Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,639
Uhahahaaa!!! khabareee mnayooo......"sankoro""sankoro"
Kama ronaldo...
Uhahahaaa!!! khabareee mnayooo......"sankoro""sankoro"
halfu unajua hiyo post yake ya pili ya kwamba tunadhalilishwa mbele ya wageni niliitoa mimi humu ndani?kifesi ameiba maneno yangu mengi na kuyaedit kidogo tu
Umeona eenh!,poa bwana!screpa kidoti anajifariji kwa kutundika mipicha kila dakika ili kuua soo!ajhahahahahaaa macho huko yaliko yamemvimba kwa kulia!!chezea vichambo wewe
Hahaha, oh boy!
Haya mama nimenyoosha mikono, yaishe. Acha nipite zangu hivi.
Huyu mtu anapita saa ngapi mana toka kumi 11 alfajiri namsubiria hpa salendar simuoni mpka mda huu.....afute kauli yke lazma tumshike japo kalio lake hasira zipungue
kuna habari hii imezagaa kwamba walikamatwa na polisi wa afrika kusini kwa kubeba vitu walivyovitilia mashaka.Walihojiwa na baadae kuachiwa,je hili ni kweli? kama ni kweli tunaelekea kubaya kama taifa
Haaaaaa na gauni lake la njano
Na wata nyooshwa tu
Kasahau ku acknowledge lol
Ahahahahahahahh usniambieeee???!mbona umbea raha jamaniiii!kila siku nasema mimi kama mwanaume unampenda basi mvumilie usimuache mpaka uachwe!Ukimuacha mtu wakati unampenda ni kujipa mzigo wa mawazo na pressure hasa akipata mkali zaidi yako.
Ameumbuka leo jamani mtoto wa watu
huyo Singida kazi imezidi kidogo aliyemtegemea kumsaidia kumbeba alipigwa chini sasa ni ubizi wa kutafuta shoti kati zingine, kazi anayo kwa sasa zaidi ya alivyotegemea mwanzoni.
I get where you're coming from Chief. By management ya kimataifa sijamaanisha wazungu au watu kutoka nje, bali watu wenye ujuzi wa kimataifa watakaomsimamia yeye kwa ujumla, na sio tu muziki wake, kwa sababu kashakuwa brand sasa, kila move anayofanya katika maisha yake kiujumla ina madhara(mazuri au mabaya) kwake na kwa taifa. He needs somebody to monitor and guide him.
Jamaa angekuwa na management inayojielewa, issue kama anayoilalamikia Jokate isingekuwepo kabisa, ni lose-lose situation kwake. Huu haukuwa muda wa kuwatambishia wabaya wake, bali kuwavuta upande wake cuz kazi ndio kwanza inaanza. Nawajua watu wa maana sana ambao hawana habari kabisa na huo muziki ila walipiga kura kiuzalendo cuz ushindi ni wa taifa, m'dingi wangu mmoja wapo, sasa akija kusikia jamaa analeta pozi za ajabu baada ya ushindi, wala hatajisumbua next time.
Ukisema hatuhitaji kufahamika au kukubalika nje ya bara la Africa nakuwa sikusomi mtu mzima. Tulitoka Channel O, tumefika MAMA's, sasa ni kwenda Bet na kubeba pia, tukitoka hapo twende mpaka Grammy's. Kama Nigerians wanapiga kazi na kina Drake, kwanini sisi tusiwe na verse ya J. Cole kwenye ngoma yetu, or even better, let's have Justin Timberlake kabisa, why not?! Tuanze kupiga shows za maana huko nje. Tukiridhika hapa, ndio yatatokea yale tuliyofanya mwanzo kwa kujiachia kisa Kellz anatukubali.
Hahaha, oh boy!
Haya mama nimenyoosha mikono, yaishe. Acha nipite zangu hivi.