Live updates: MTVMAMA Awards 2015!

kuna habari hii imezagaa kwamba walikamatwa na polisi wa afrika kusini kwa kubeba vitu walivyovitilia mashaka.Walihojiwa na baadae kuachiwa,je hili ni kweli? kama ni kweli tunaelekea kubaya kama taifa

Yani wewe zinga la -----.Yaani kwenye post unauliza kama habari ni za kweli hivyo unahitaji uhakiki.Kwenye post xakp ndani unasema unauhakika na umeambiwa na mtu.Kwa hiyo weee ukiambiwa kua usiku wa leo umeliwa kiboga utaamini tu kisa umeambiwa?Jipange tena
 
wale wapenzi wa burudani ebu nijuzeni kuhusu vijana wetu kwenye tuzo za mtv mama,i.e. vanessa na diamond
 
Ahahahahahahahh usniambieeee???!mbona umbea raha jamaniiii!kila siku nasema mimi kama mwanaume unampenda basi mvumilie usimuache mpaka uachwe!Ukimuacha mtu wakati unampenda ni kujipa mzigo wa mawazo na pressure hasa akipata mkali zaidi yako.

Ameumbuka leo jamani mtoto wa watu

kaumbuka haswa, Chibu angeiposti alivyotaka asingelala wangemtungia kila kitu cha duniani labda nae alidhani angerudiwa.

Kabla ya KTMA chibu amemposti kumpongeza biashara, nyimbo mpya hapo ni promo pia, sasa yeye akaozea kwenye kukumbukia mdude akalewa na mwenzake kujiunga kutaka kumshusha, bila aibu hadi magazetini na redioni unatangaza eti amesaidia Chibu kushindwa leo hii anataka nini kulilia uma juu ya Chibu kama sio wivu wa mahaba.

sijui huyu alienae hamkogi anabaki kukumbukia na kuchonga maneno ka vile kuna bifu. eti kadhalilishwa hawana jipya hilo tu ndio wanadaka wanawake na wasichana wadogo wanashinda kuwasapoti insta.

Wamwache Chibu kila mara lazima wamtaje kupata promo, wamezidi khaaaa.
 
I get where you're coming from Chief. By management ya kimataifa sijamaanisha wazungu au watu kutoka nje, bali watu wenye ujuzi wa kimataifa watakaomsimamia yeye kwa ujumla, na sio tu muziki wake, kwa sababu kashakuwa brand sasa, kila move anayofanya katika maisha yake kiujumla ina madhara(mazuri au mabaya) kwake na kwa taifa. He needs somebody to monitor and guide him.

Jamaa angekuwa na management inayojielewa, issue kama anayoilalamikia Jokate isingekuwepo kabisa, ni lose-lose situation kwake. Huu haukuwa muda wa kuwatambishia wabaya wake, bali kuwavuta upande wake cuz kazi ndio kwanza inaanza. Nawajua watu wa maana sana ambao hawana habari kabisa na huo muziki ila walipiga kura kiuzalendo cuz ushindi ni wa taifa, m'dingi wangu mmoja wapo, sasa akija kusikia jamaa analeta pozi za ajabu baada ya ushindi, wala hatajisumbua next time.

Ukisema hatuhitaji kufahamika au kukubalika nje ya bara la Africa nakuwa sikusomi mtu mzima. Tulitoka Channel O, tumefika MAMA's, sasa ni kwenda Bet na kubeba pia, tukitoka hapo twende mpaka Grammy's. Kama Nigerians wanapiga kazi na kina Drake, kwanini sisi tusiwe na verse ya J. Cole kwenye ngoma yetu, or even better, let's have Justin Timberlake kabisa, why not?! Tuanze kupiga shows za maana huko nje. Tukiridhika hapa, ndio yatatokea yale tuliyofanya mwanzo kwa kujiachia kisa Kellz anatukubali.

mbona sikukuona humu ukiwasema hao waliokuwa wanaongea kwenye redio na magazeti kuwa wamesaidia Diamond asipate tuzo? yes huyo Jokate na wenzake mbona haukuanzisha uzi humu kuwakanya

Sababu nae Diamond anaandika yake mnanyanyua vidole na midomo, mumuache na maisha yake acha awajibu kwani yeye anathamani kubwa zaidi ya hao wote weka pamoja.

Kama Kuringa hata wewe lazima kuna waonsema una nyodo au? kama hauna basi jipange.
 
"teh asante baba ya ukweli nayaonaaa dunia inakaba ila taratibu ntazoeaa,yaga yaga sichoki nakomaa japo mambo vaga naamini yataninyookeaaa,natafuta nkisaaka kwa matatizo sana muda mwengine silali bariki ooo,mola nzidishie baraaka nami nzidi kwa saana sabaabu najua anayegawa riziki ni wewe...asante baaaba"(in mondi's voice@Alive by bracket x chibu)

Dah jamaa maneno yake yanafanya Mungu ambariki kweli huyu dogo...utasema anaoteshwaga ivi haya maneno!
 
Back
Top Bottom