Live updates: MTVMAMA Awards 2015!

Live updates: MTVMAMA Awards 2015!

Hohohooooo ( devil's laughter ), hujambo kwanza mcute?
Hongereni timu davido (kiba&wema) kwa kupata tuzo!

Hizo zilikuwa tuzo za MTVMAMA na zote zinaheshima sawa,
Tuzo ya Best live ni tuzo anayepewa msanii ambaye ni multitalented, kama ulikuwa hujui (japo najua unajua).
Ina vigezo vingi vya kuangalia ikiwa pamoja na ni kiasi gani unaweza kutawala jukwaa, kuimba huku ukicheza, kuwasherehesha mashabiki, wanaangalia umefanya show ngapi, wapi? (Katika matukio gani? )
Kusema ni tuzo isiyo na heshima ni kuleta excuses tu za kutokukubaliana na fact kwamba Diamond ndo kaichukua na kujiweka katika comfort zone !

Ingekuwa kigezo ni kunengua Super Nyamwela asingekosekana kwenye nomination hahahaaaaa!

Hahahaaaaa (cute b voice )
Sijambo mamie wangu...
Mamy ilo naelewa mbonaa.... sio kila linalobishwa basi ndivyo ilivyo mamie.
Kila category aliyopo dai he deserve na ndo maana kawekwa (hahahaaa kama vile naona wanafiki wanavyo fyonza ) ila ndo ivyo anastahili sana sema ndo ivyo kura tuu zime pungua sijui nini ala najua alistahili.
But kwa kuwa nilianza kunyweshwa ndimu nikaona kama mbwai iwe mbwai baridaaa...
Ila kwa mtu anayejua ata wakisema hajui haiumizi wala haimshushi chochote but fools ndio watakao argue na ndo nilitaka wa panic. Kwani mamie wewe si ke? Ukiambiwa wew ni me na unajijua ni ke utaumia nini? Ukiumia na kupanic maana yake huamin jinsia yako....
Hongereni kwa kupiga kura binti kiziwi.
ANASTAHILI KUPATA TUZO ZOTE TATU ILA SIO MBAYA KAMA KAPATA MOJA (keep on voting)
#wanafikiwanajuanimesurrendahahahaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaa (cute b voice )
Sijambo mamie wangu...
Mamy ilo naelewa mbonaa.... sio kila linalobishwa basi ndivyo ilivyo mamie.
Kila category aliyopo dai he deserve na ndo maana kawekwa (hahahaaa kama vile naona wanafiki wanavyo fyonza ) ila ndo ivyo anastahili sana sema ndo ivyo kura tuu zime pungua sijui nini ala najua alistahili.
But kwa kuwa nilianza kunyweshwa ndimu nikaona kama mbwai iwe mbwai baridaaa...
Ila kwa mtu anayejua ata wakisema hajui haiumizi wala haimshushi chochote but fools ndio watakao argue na ndo nilitaka wa panic. Kwani mamie wewe si ke? Ukiambiwa wew ni me na unajijua ni ke utaumia nini? Ukiumia na kupanic maana yake huamin jinsia yako....
Hongereni kwa kupiga kura binti kiziwi.
ANASTAHILI KUPATA TUZO ZOTE TATU ILA SIO MBAYA KAMA KAPATA MOJA (keep on voting)
#wanafikiwanajuanimesurrendahahahaaaaa

Santeeeeeeeeeeeeeeeeee, barida tu ama nene! Hahahaaa hapo kwenye kusonya Nimechekaje?
 
Last edited by a moderator:
Team kiba mmebugi meeeen hahahaha king ana hali mbaya sana kwakweli embu nenda insta kamfariji kidogo maana team chibu hawana huruma kabisa kiba anakula za usoo

Wapi team ukawa hahahahahaha

Sasa Ally Kiba anaingiaje?
Na kwanini msanii wa kuumia awe Ally Kiba pekee?
If he is no match to ndomo, why does he bother you so much?
So imekuwa tuzo za Mtv Vs Kiba?
Kweli amekukaa akilini.
 
Santeeeeeeeeeeeeeeeeee, barida tu ama nene! Hahahaaa hapo kwenye kusonya Nimechekaje?

Hahahaaaa wewe hujui tuu watu wata fyonza tuu hamna namna.
Baridaaaaaaaaa... mia miaaaaaaa.
Najiandaa mimi na mpenzi wangu sumbai kwenda kumpokea icon ama neneeee.
One love mamie
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaa (cute b voice )
Sijambo mamie wangu...
Mamy ilo naelewa mbonaa.... sio kila linalobishwa basi ndivyo ilivyo mamie.
Kila category aliyopo dai he deserve na ndo maana kawekwa (hahahaaa kama vile naona wanafiki wanavyo fyonza ) ila ndo ivyo anastahili sana sema ndo ivyo kura tuu zime pungua sijui nini ala najua alistahili.
But kwa kuwa nilianza kunyweshwa ndimu nikaona kama mbwai iwe mbwai baridaaa...
Ila kwa mtu anayejua ata wakisema hajui haiumizi wala haimshushi chochote but fools ndio watakao argue na ndo nilitaka wa panic. Kwani mamie wewe si ke? Ukiambiwa wew ni me na unajijua ni ke utaumia nini? Ukiumia na kupanic maana yake huamin jinsia yako....
Hongereni kwa kupiga kura binti kiziwi.
ANASTAHILI KUPATA TUZO ZOTE TATU ILA SIO MBAYA KAMA KAPATA MOJA (keep on voting)
#wanafikiwanajuanimesurrendahahahaaaaa

Team hatuhami ng'oooo!.Watu wote wakishabikia Barcelona nani atashabikia Realmadrid.
Waache wafurahi.
 
Last edited by a moderator:
Team hatuhami ng'oooo!.Watu wote wakishabikia Barcelona nani atashabikia Realmadrid.
Waache wafurahi.

Kwanza humu ndani patapoooza wote tukiwa na mawazo sawa...
Team tukihama tutasahau ku vote...
Maisha ushindani bhanaaa kuna kushinda na kushindwa kizuri ni kukubali matokeo tuu.
Jana mimi sikuwa na mpango wa kuchangia kwenye huu uzi ila walivyoanza ninywesha ndimu kila saa napata ujumbe naitwa nikasema ngoja nipate giaaaa izo ndimu tunywe wote hahahahaaaa ila nisinge mentioniwa kinafiki ningekuja nitoe pongezi alafu maisha yanaendelea.
Team kiba milelee.
Die hard fan
 
Hahahaaaa wewe hujui tuu watu wata fyonza tuu hamna namna.
Baridaaaaaaaaa... mia miaaaaaaa.
Najiandaa mimi na mpenzi wangu sumbai kwenda kumpokea icon ama neneeee.
One love mamie

ndio maana nakupenda...

Mwaaaaaaa le big kiss from WCB.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom