Live updates: MTVMAMA Awards 2015!

Live updates: MTVMAMA Awards 2015!

Hahaha.. acha kulia nyau hapa, kristapen ishakuingia we sikilizia tu maumivu.. GET WELL SOON😂😂

ahahaaaaa yaani jamani mie mwenzenu yamenifikaa hapaaaaa!!!nacheka mpaka nakaribia kufwaaa you know!!jokate amepanick mpaka hajui anachoandikaaa!!

Halafu watu walivyokuwa washenzy wanamtukana kama hawana akili nzurii
 
ahahaaaa jamani atazimia leooo!naona kingkibakuli amepanick alivyoiona ile clip soo akataka majibu kwa jokate imekuwajeeee

Hahahaaaa afu rommy huwa ananikoshaaaa 1437307433650.jpg
 
ahahaaaaa yaani jamani mie mwenzenu yamenifikaa hapaaaaa!!!nacheka mpaka nakaribia kufwaaa you know!!jokate amepanick mpaka hajui anachoandikaaa!!

Halafu watu walivyokuwa washenzy wanamtukana kama hawana akili nzurii

Akufweeee Mazafantazz eti video ya mda sisi tunajua vp hahah I lke ths gadem game thy start to play bt now wakwanza kuomba pooo" @ teamNoStress
 
Kwani huyo kidoti analia lia nini? Akae tu ajue ye ni mnafiki nambari moja, mkipewa za uso mnajifanya wanyongeeee Pyeeeeeeeeee, kujifanya victim tu msyuuuuuuuuu. Kwanza uache kumtukana chibu kwa ile account yako fekero ya insta, uzuri Ushemeji huwa hauishi ulitegemea kama huyo rafiki ako mloshirikiana nae kufungua account fekero hatatufikishia? ???
Eti umeaibishwa! Nani kakuaibisha kama sio wewe mwenyewe?
Mchawi ni mchawi tu either anakuja kwa sura yake or sura ya paka! Unajifanya ume move on wakati kila siku unamdhalilisha Diamond na Zari kwa account yako fake. Acha unafiki Period!
 
nakwambia nimemtukana hukooo mpaka nimeridhikaaa!shenzy type yule mpaka aache nyege mshindo

Hahaha nimesoma macomment mule dah kama anapitia bora tu atoe mana watu wanampa za uso tu hakuna cha uruma hahaha. Tatzo hakajielewi maskin dah kifata upepo na ustar usiokua na mpango kazi kweli. Na Chanel O alipokua anaajiriwa kwa msimu imekua local chanel haitajiki tena lazma apanic sana.
 
kuna habari hii imezagaa kwamba walikamatwa na polisi wa afrika kusini kwa kubeba vitu walivyovitilia mashaka.Walihojiwa na baadae kuachiwa,je hili ni kweli? kama ni kweli tunaelekea kubaya kama taifa
 
Back
Top Bottom