Mr Penal Code
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 823
- 216
unaipenda kaziyako haya kazi ni kazi.
Umeonaaaaaaaa eheeeeeeeeeeee!!!!!!!!
unaipenda kaziyako haya kazi ni kazi.
wamekupandisha sana cheo tika kulisha mbwa wa nape hadi kua mchangiaji jf komaa kijana kisije kikaotaChochote kisichowapendeza wao ni hovyo
Tulivaa magwanda kabla yao, watizameni waacheni hivo hivo. Ntawaonyesha picha yangu ya miaka 20 iliyopita nikiwa na gwanda
Mawazo yako yanafanana na mawazo ya ki-BAVICHA BAVICHA. Hujalielewa somo. Nimekwambia watu wanaishi kwa interest za investment zao. Mpira tunaangalia kwenye home cinema room. Kwa fikra zako unafikiri kila mtu anaenda kuangalia mpira kwenye Television za kulipia kinywaji.
Kuendelea kuwa kwenye hii thread huna jinsi bali kuumeza ukweli.
CCM hatuishi kwa uongo na uzandiki na kifuatilia fuatilia watu JF.
Ninakutahadharisha kuendelea kufanya hivyo utakuja pata matatizo bure.
Just be yourself and mind your own business.
Daraja la kilombero limetiwa sahihi na litafunguliwa si mda
vipi diwani na mbunge wa chadema hajarudisha kadi? Au ni uzushi mtupu??Naona bwana Kinana na comrade Nape wamesambaratisha kabisa ka wingu cha upinzani mkoani Morogoro.
Wapinzani wapatao zaidi ya 800 wamerejesha kadi zao za vyama vya upinzani kwa bwana Kinana.
Kati ya hao wapinzani waliorejesha kadi, zaidi ya 750 ni kutoka CHADEMA na idadi iliyobaki ni CUF na TLP.
Lakini mafanikio makubwa ya ziara hiyo ya bwana Kinana ni kupata wanachama wapya zaidi ya 4000, ambao hawakuwa na chama chochote cha siasa.
Kweli CCM ni kiboko yao.
Katibu mkuu wa CCM A.KINANA leo amehutubia mkutano wa hadhara huku akiwaambia wananchi kuwapuuza viongozi waCDM
.Umati mkubwa wahudhuria huku wakiwa na nyuso za tabasamu na imani kubwa kwa KINANA. KINANA awaambia kupuuza kauli viongozi wa CDM kwani wanaweweseka na uroho wa madaraka
.Mchakato wa katiba unaenda vizuri, CDM ni vigeugeu walidai kama wangepata nafasi ya kushika dora wangebadilisha katiba ndani ya siku 100 huku wakisaau kuwa katiba ni ya watanzania na sio ya CDM kwani siku 100 tu hutawezaje kuwafikia watanzania ukapata mawazo yao
.Watanzania waaswa kutotumika vibaya kwa wanasiasa kama kushiriki migomo, fujo na machafuko kwani haina tija kwa taifa letu kwani viongozi wa CDM wanataka kutawala kwa mabavu huku wakidai nguvu ya umma wakati nguvu ya umma ipo kwenye sanduku la kupigia kura
.Mboye anachochea migomo ya vyuo vikuu wakati yeye alipata ZERO kidato sita kwa hiyo haoni umuhimu wa elimu ya chuo kikuu, nae MNYIKA kumbe alidisco UDSM ila yuko msitari wa mbele kwa migomo ya vyuo vikuu ili tupate taifa la wajinga
ID ya aina hiyo inatumiwa na zaidi ya mtu mmoja. Jamaa wanakua zamu!kaka usjiulize sana hawa ndo wapiga deki nyumba za nape na kinana, bada ya watoto wao kupelekwa BOT hawa walisha mbwa ndio wanaletwa JF kwa ujira wa 7000 kwa siku
Nitajulia wapi maisha ya vichocholoni kama hayo wakati maisha yangu yako kwenye hiyo nchi unayohangaika kulipia mpira kuangalia kwenye 42" screen.We mbwiga kweli, nahujui usemalo postb uongeze kiposho chako cha leo; soccer city ni meeting place ya EPL fans wa sinza; Kwa ushamba wako huu wa kuvamia hata usiyoyajua... naona napoteza time yangukujadili ishu na Dreamer: Nikufundishe wapenzi wa EPL huwa hatujifungii ndani kuangalia mpira huwa tuna maeneo yetu tunakutana kujadili bness na ku watch game. Endelea kupost uongeze posho na kudream zaid. Lala salama maana umelala kiakili na kimawazo.
Nitajulia wapi maisha ya vichocholoni kama hayo wakati maisha yangu yako kwenye hiyo nchi unayohangaika kulipia mpira kuangalia kwenye 42" screen.
Welcome to London.
Kinana anaifananisha CDM na Jonas Savimbi