utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,815
Ni muda muafaka kuwasikiliza wanasiasa siku ya mwisho watanzania ndio wataamua wa kuwachagua
Hawana subira zaidi ya wivu na munkari na kukosa ustaarabu huku wakijiita vijana wa digital. Wanafikiri kufanya hivi ni kuziba watu wasijue nininkinachofanyika hapa.Mkuu unaharibu thred ni vyema ungeanzishia uzi wake
Usipatwe na wasiwasi. Tatizo la CCM siyo pesa bali ni matumizi.
.
Wananchi wakishangilia wakati wa mkutano huo
http://4.bp.blogspot.com/-orBYkDLQs...nc/s1600/3.UMATI+UKIWA+UMEFURIKA+UWANJANI.jpg
Maelfu wakiwa wamefurika kwenye mkutano wa CCM uliofanyika mkoani Morogoro jioni hii
![]()
Msanii Nasibu Abdul 'Diamond' akibebwa na wasanii wake kukoleza, alipotumbuiza kwenye mkutano wa hadhara wa CCM uliofanyika mjini Morogoro leo jioni
![]()
Diamond akitumbuiza kwenye mkutano wa CCM uliofanyika jioni hii mjini Morogoro
![]()
Msanii Lina akitumbuiza kwenye mkutano huo
http://2.bp.blogspot.com/-qfr4wLdlgq8/UXPt0eiFaaI/AAAAAAAAaSk/PvQZnbcHHBk/s1600/DSC_4944.JPG
Kwenye huo mkutano CHADEMA itatamkwa mara 200 huku Ccm ikitamkwa mara 50
CCMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMM oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
CCM inakwenda nyumba hadi nyumba, mtaa hadi mtaa, kijiji hadi kijiji, kata, tarafa, wilaya na tunamalizia mkoani.
Katibu mkuu alikuwa anakagua uhai wa chama. Usiweweseke. Hii ni CCM.
98% ya viongozi wa opposition wametoka CCM. Toka lini mtoto akawa mkubwa kwa wazazi wake.
Hata CCM ikae ikijua ipo siku itaondoka tu. Wananchi tumeshaichoka na siasa zake za majitaka. Kaondoka Ghadaf na Mubarak sembuse CCM. Haina hati miliki ya kutawala Tz. Waipige vijembe Chadema lakini mwisho wajue wananchi tunataka mabadiliko yawe ya kheri au ya shali.Tumechokaa! na utawala huohuo tu miaka yote. Mabadiliko ni lazima ili tujue upande wapili una nini hata kama utaleta mchafuko, nayo ni mabadiliko.Chadema wakubali nchi hii tuko wengi sio chadema peke yao, waache kiburi, wamedekezwa mda mrefu, wanatukana kila mtu, wakubali kulikuwa na watu kabla yao na wao wataondoka tu
Mawazo yako yanafanana na mawazo ya ki-BAVICHA BAVICHA. Hujalielewa somo. Nimekwambia watu wanaishi kwa interest za investment zao. Mpira tunaangalia kwenye home cinema room. Kwa fikra zako unafikiri kila mtu anaenda kuangalia mpira kwenye Television za kulipia kinywaji.Aunt Swali limekuuma kumbe na we ni wale wale wa kulipwa per post; karibu uwe personal assistant(ni pm nikupe mchongo wa kukuweka town, au nipitie soccer city hapa now nacheki gem ya liva na chelsea) katika bness zangu, i pay more than 7K per post unazolipwa.
Kinana anasema kunaviongozi
wa cdm wamekaa madarakani mda mrefu wakihojiwa na wenzao wanadai
anayehoji katumwa na ccm.
Kwa hiyo siasa wamejifunzia CCM na kwa maana hiyo, hawawezi kuwa zaidi ya CCM.Yaani mishipa kukutoka kiasi hicho point zanyewe ndio hizi. Kwa hiyo ulitegemea viongozi kutoka upinzani waibuke tu kama uyoga wa msimu porini? Naona ngoja niachane na wewe, mtu mwenyewe hata unacho bishania hukijui. Eti viongozi wa upinzani walitokea CCM. Kwa hiyo?
Mi si mshabiki sana wa siasa, ila mkuu UNATISHA:
Umejiunga JF APRI 8 (SIKU 13 ZILIZOPITA) hadi leo una post 732( WASTANI WA POST 56 KILA SIKU) zaid hata ya watu waliojiunga mwaka mmoja uliopita. Mkuu nijibu mawali yangu mawili tu
1. HUNA KAZI YA KUFANYA HAPA MJINI ZAIDI YA KUSHINDA JF NA KUPOST SIKU NZIMA?
2. UNALIPWA KWA KILA POST UNATUPIA JAMVINI?
3.JF MODS WAMEKOSEA IDADI YA POST ZAKO?
KWA KWELI NIMESHANGAZWA SANA WANA JF