CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,942
- 9,463
Maonyesho ya wakuu wa wilaya. Ccm kwisha kazi,
waarabu na ccm ni chanda na pete, ndo wanakojifunza ugaidi akina mwigulu na jack zoka!Kapanda Fisadi Abood, waarabu wajanja sana, Kenya huwezi wakuta waarabu kwenye siasa
kwani mulugo vyeti ni vyake, ina maana hao waliopata zero form 4 hawafai kuwa viongozi?Namsikia Nape anahutubia kuwa mwenyekiti wa taifa wa chadema alipata division zero form four na msemaji wa chama alikimbia chuo kikuu bila kumaliza masomo yake.
Hizi habari ni za kweli makamanda?
wenzako huongelea mdomo sehemu nyingine hujambia,Mbona hatukupata updates za dodoma jana?
ni kweli mkuu hakuna kama ccm kwa kusomba watu kwa malori kutoka vijijini na kuwapa pilau!Kwa mkutano huu hakuna kama ccm, 2015 ushindi daima. Anayetaka picha atazame tbc sio kuleta umbulula humu.
mkuu Mbowe Kyle jimboni kwake alisema 'mnyonge mnyongeni haki yk mpeni' Naona mbunge anatoa hotuba co mpasho
moro na mikumi sio mbali,nawaomba muweke ulinzi imara kuwanusuru TEMBO!
ni kweli mkuu hakuna kama ccm kwa kusomba watu kwa malori kutoka vijijini na kuwapa pilau!
Mapunda, Kinana, na wewe wote machizi, Kinana jangiriKatibu wa ccm mkoa wa moro sixtus mapunda anasema watu 4300 wamejiunga na ccm ktk ziara ya kinana mkoani moro
Mkuu nisaidie hili lambowe kupata zero form six lipoje sijalijua vizuri nipe ukweli mkuu.Mkutano wa magamba unaonywesha live tbc. Ninaona badala ya kueleza wananchi wamefanya mini wanawaburudisha na vikundi vya wanamziki ili kupoteza miss.
Kitndawiliiii tegaaaaa, nimefanya na nitafanya, nani zaidiiiiii jibu nimefanyaaaaaaa