Ushuhuda wa mafuriko ya morogoro haya hapa!
tunaweza sema alikua anacrush hoja za chadema...hizo ndizo siasa,hata chadema wanaisema sana ccm na serikali yake.Naona chadema inawachanganya sana Ccm, kinana analia na chadema tu hana jingine, nimemshusha sana sikumtegemea namna hii, naanza kuhisi tabia za mwigulu, lusinde na nape nadhani ni yeye anaprogram, amehusika k
Dk slaa anasema kuchagua ccm ni kujitakia maafa anamaana gani.Yaani siku zote 8 za kuzunguka Morogoro, pamoja na kuwepo wasanii Diamond na wengineo, huu ndio ushahidi wa kwamba nyomi ni kubwa? Tena kwa kuahidiwa nguo za kijani! Umesikia ya Mwanza jinsi inavyo tikisika? Maana ni nyomo la uhakika bila hata ya ahadi ya nguo, usafiri, n.k.
Swali la kitoto na kama siyo la kitoto basi bado unaishi katika dunia ya zama za mawe.
Watu wana investment zao, wanaishi kwa interest. Usilinganishe maisha yako naya wengine.
Wewe unafikiria jinsi ya kupata pesa wengine wanafikiria jinsi ya kutumia.
Wewe endelea na kazi za kuvuja jasho and mind your own life. dude.
CCM inakwenda nyumba hadi nyumba, mtaa hadi mtaa, kijiji hadi kijiji, kata, tarafa, wilaya na tunamalizia mkoani.Yaani siku zote 8 za kuzunguka Morogoro, pamoja na kuwepo wasanii Diamond na wengineo, huu ndio ushahidi wa kwamba nyomi ni kubwa? Tena kwa kuahidiwa nguo za kijani! Umesikia ya Mwanza jinsi inavyo tikisika? Maana ni nyomo la uhakika bila hata ya ahadi ya nguo, usafiri, n.k.
Nadhani hao viongozi na akina John Cheyo, Augustino Lyatonga Mrema, Seif Shariff Hamad na Lipumba.Kinana anasema kunaviongozi wa cdm wamekaa madarakani mda mrefu wakihojiwa na wenzao wanadai anayehoji katumwa na ccm.
Dk slaa anasema kuchagua ccm ni kujitakia maafa anamaana gani.Yaani siku zote 8 za kuzunguka Morogoro, pamoja na kuwepo wasanii Diamond na wengineo, huu ndio ushahidi wa kwamba nyomi ni kubwa? Tena kwa kuahidiwa nguo za kijani! Umesikia ya Mwanza jinsi inavyo tikisika? Maana ni nyomo la uhakika bila hata ya ahadi ya nguo, usafiri, n.k.
Ni wewe uliyevutiwa na maisha yake ukawa na kihele hele na gut ya kutaka kujua anaishi vipi. Tumekupa jibu, unaona wivu. Tafuta maisha, wenzako waliisha tafuta muda mrefu. Utabaki kushangaa shangaa tu ukiona watu wanashinda hapa JF.Wenye hizo investments huwa hawajitangazi, huo ni ulimbukeni: Anyway swali halikuhusu, kurukia lisilokuhusu tu inaonyesha kama nawe una investments basi ni YOUR DREAMS. I.D.I*T
![]()
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye wakiingia kwenye Uwanja wa mkutano wa hadhara wa CCM mjini Morogoro.
![]()
Wananchi wakishangilia wakati wa mkutano huo
![]()
Maelfu wakiwa wamefurika kwenye mkutano wa CCM uliofanyika mkoani Morogoro jioni hii
![]()
Msanii Nasibu Abdul 'Diamond' akibebwa na wasanii wake kukoleza, alipotumbuiza kwenye mkutano wa hadhara wa CCM uliofanyika mjini Morogoro leo jioni
![]()
Diamond akitumbuiza kwenye mkutano wa CCM uliofanyika jioni hii mjini Morogoro
![]()
Msanii Lina akitumbuiza kwenye mkutano huo
![]()
Wasanii Chege na Temba kutoka TMK Family wakishambulia jukwaa wakati wa mkutano wa hadhara wa CCM uliofanyika kwenye mjini Morogoro jioni hii
Weka mbali na Tembo!! Tokea lini kawa Engineer Huyo adui wa Tembo?
Usipatwe na wasiwasi. Tatizo la CCM siyo pesa bali ni matumizi.garama ya mkutano moja wa ccm ni billioni moja
Hata mm nimeona mkuu, kweli watu walikuwa wengi mnoWatu ni wengi kweli kweli
Mwanza hyo mda huu
![]()
picha kwa hisani ya Peter Msigwa
Mkuu unaharibu thred ni vyema ungeanzishia uzi wakeMwanza hyo mda huu
![]()
picha kwa hisani ya Peter Msigwa
Ni wewe uliyevutiwa na maisha yake ukawa na kihele hele na gut ya kutaka kujua anaishi vipi. Tumekupa jibu, unaona wivu. Tafuta maisha, wenzako waliisha tafuta muda mrefu. Utabaki kushangaa shangaa tu ukiona watu wanashinda hapa JF.
Usije ukajitia kitanzi bure baada ya kusikia jinsi gani watu wanatanua katika maisha yao.