jjibu maswali uliyoulizwa na RICH OIL SHEIKH siyo kujaza upuuzi humu m2 mwenyewe umejiunga jamvini eti tarehe 8/4/2013 unapost 730 naaa. kama hujatumwa kwa kazi hii nini unatafuta je huna kazi ya kufanya Rich kakuuliza unapata wapi muda wakuposti post zaidi ya 56 kwa siku kwa akili ya haraka haraka inaonekana unapewa ujira kwa kazi hii.Ni mtu wa kwanza kuwa na post nyingi na za ajabu kwa muda mfupi wenzako wenye akilihuwa wanajaribu kuwa wajanja wanakuwa na interval sasa namuona hata lukosi kumbe ana akili kuliko weye:rockon:Wana ccm tembeeni kifua mbele, kataeni vurugu
Katibu mkuu wa CCM A.KINANA leo amehutubia mkutano wa hadhara huku akiwaambia wananchi kuwapuuza viongozi waCDM
.Umati mkubwa wahudhuria huku wakiwa na nyuso za tabasamu na imani kubwa kwa KINANA. KINANA awaambia kupuuza kauli viongozi wa CDM kwani wanaweweseka na uroho wa madaraka
.Mchakato wa katiba unaenda vizuri, CDM ni vigeugeu walidai kama wangepata nafasi ya kushika dora wangebadilisha katiba ndani ya siku 100 huku wakisaau kuwa katiba ni ya watanzania na sio ya CDM kwani siku 100 tu hutawezaje kuwafikia watanzania ukapata mawazo yao
.Watanzania waaswa kutotumika vibaya kwa wanasiasa kama kushiriki migomo, fujo na machafuko kwani haina tija kwa taifa letu kwani viongozi wa CDM wanataka kutawala kwa mabavu huku wakidai nguvu ya umma wakati nguvu ya umma ipo kwenye sanduku la kupigia kura
.Mboye anachochea migomo ya vyuo vikuu wakati yeye alipata ZERO kidato sita kwa hiyo haoni umuhimu wa elimu ya chuo kikuu, nae MNYIKA kumbe alidisco UDSM ila yuko msitari wa mbele kwa migomo ya vyuo vikuu ili tupate taifa la wajinga
ccm wanahitaji rudi tafuta gamba ingine.kinana hana mvuto wala ushawishi zaidi ya kutia huruma.
Hotuba zake zaidi zaidi zinaonekana kuwa umbea zaidi ya kitu chenye maana.
Magamba wanahitaji rudi dodoma kutengeneza mkutano mwingine unaofafanana na shamba la aliyeti kwa rangi ya kijani na njano.
Sijui wamemaliza reserve.
Katibu mkuu wa CCM A.KINANA leo amehutubia mkutano wa hadhara huku akiwaambia wananchi kuwapuuza viongozi waCDM
.Umati mkubwa wahudhuria huku wakiwa na nyuso za tabasamu na imani kubwa kwa KINANA. KINANA awaambia kupuuza kauli viongozi wa CDM kwani wanaweweseka na uroho wa madaraka
.Mchakato wa katiba unaenda vizuri, CDM ni vigeugeu walidai kama wangepata nafasi ya kushika dora wangebadilisha katiba ndani ya siku 100 huku wakisaau kuwa katiba ni ya watanzania na sio ya CDM kwani siku 100 tu hutawezaje kuwafikia watanzania ukapata mawazo yao
.Watanzania waaswa kutotumika vibaya kwa wanasiasa kama kushiriki migomo, fujo na machafuko kwani haina tija kwa taifa letu kwani viongozi wa CDM wanataka kutawala kwa mabavu huku wakidai nguvu ya umma wakati nguvu ya umma ipo kwenye sanduku la kupigia kura
.Mboye anachochea migomo ya vyuo vikuu wakati yeye alipata ZERO kidato sita kwa hiyo haoni umuhimu wa elimu ya chuo kikuu, nae MNYIKA kumbe alidisco UDSM ila yuko msitari wa mbele kwa migomo ya vyuo vikuu ili tupate taifa la wajinga
moro na mikumi sio mbali,nawaomba muweke ulinzi imara kuwanusuru TEMBO!
Hii ni ngoma nyingine. Endelea na kupiga vumbi la sinza. Dude.Duh kumbe mpiga box.....una sound kama ushazeeka. potezea Aunt yangu, Siku njema.
umesema kweli mkuu magari yamebeba watu mpaka Matombo,Mikese na Mgeta tumewaona kwa machoWatu wanaletwa kwa magari mkutanoni.vivutio sio sera tena bali chege na diamond!! Hata kama kukiwa na watu wengi siwezi shangaa diamond peke yake anaweza kuujaza uwanja bila kutamka jina la ccm!!ccm mwisho umekaribia...kumbukeni siku ya kupiga kura diamond hata kuwepo!!
kaka usjiulize sana hawa ndo wapiga deki nyumba za nape na kinana, bada ya watoto wao kupelekwa BOT hawa walisha mbwa ndio wanaletwa JF kwa ujira wa 7000 kwa siku
CCM kwisha kazi Bila wasanii
hapa wangeambulia Aibu ya Karine ya 21 ni aibu kwa Chama chenye Miaka
50 kufanya mkutano kwa hisani ya wasanii
[/CENTER]
Hii ni ngoma nyingine. Endelea na kupiga vumbi la sinza. Dude.
mkuu katika hili napingana na wewe kinana ni noma speech yake ni kali na ameumbua mambo mengi sana tuache uongo jamaa kaongea mambo ya msingi.
Ndiyo maana nikasema unafikiria ki-BAVICHA BAVICHA. kwa fikra zako tunaposea kupiga box unafikiri ni kupiga kweli box.Duh unajisifu kupiga box? hayo mambo yashapitwa na wakati, wajanja tulitusua hukuhuku bongo kula bata kila sehem, huko huja kwa bness trip na kurudi. WE WA WAPI UNAJISIFU KUPIGA BOX DUNIA HII YA LEO???