Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,517
- 1,428
VP? shibuda keshaachia ngazi?
inanikumbusha 2010 Mbeya JK alkuja na original comedy kitendo cha comedy kumaliza na JK Kusimama watu wakanza kusepa.Nipo katika mitaa ya mji kasoro bahari kama kawaida naona jezi za ccm zimetapakaa maeneo mengi ya mji huku maroli na mabasi ya abiria yakisombawanachama toka pande zote za mkoa ili kuhudhuria mkutano wao.
Bodaboda zinaanza kuadimika mara baada ya ccm kuwakodisha kwenda katika maandamano
Kama kawaida yao Katibu wa Zanzibar aanza na mipasho kwa kukashifu CUF kuwa toka kinaanzishwa baba na mama na kitanda kilivyoanzishwa na mimba ilivyoingia anajua.
Ila kwa ufupi watu ni wachache mnoo sio kama ilivyotarajiwa na raia wengi wamekaa kwenye viti.
Updates.
Mbunge wa morogoro anaongea ila kama JK lazima asome.
Nape anaona watu wanaondoka anawambia Diamond anatudi stejini kuburudisha
Kinana anaongea pointi.
Sijui kuhusu CUF lakini chadema walishasema wamesusa na hawataki TBC itangaze habari zao.
huko ndiko walikojifunzia matusi lusinde,mwinguru,mkamia,na seru-kamba eh.Aliyetukana ni nani? au Tv yako king'amuzi kinakamata Billicana club? maaba huko ndo chuo cha matusi . ww vp?
Aliyetukana ni nani? au Tv yako king'amuzi kinakamata Billicana club? maaba huko ndo chuo cha matusi . ww vp?
CDM Sababu waliibainisha?
Na cuf je?
Pia kwa wakati huu tunaruhusu kuonesha mikutano ya vyama live kwenye TV ya taifa wakati si kipindi cha kampeni?
NITOENI PORINI WADAU.
CCM bado ina nguvu Morogoro msibeze, kuna kazi ya kufanya bandugu!