Katibu wa ccm mkoa wa moro
sixtus mapunda anasema watu 4300 wamejiunga na ccm ktk ziara ya kinana
mkoani moro
hao watu wengi wameenda kwenye mkutano wa ccm au wameenda kwenye shoo ya diamond?Watu ni wengi kweli kweli
Naona nyomi ya kutosha, kwa hili tuache majungu.
Tumewasomba wanachama wa CHADMA kama 700 na ushee!tukitoka hapa kanda ya kati!CHADMA hawana chao
hao watu wengi wameenda kwenye mkutano wa ccm au wameenda kwenye shoo ya diamond?Watu ni wengi kweli kweli