Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Bado sijapewa jibu....
Kama kafulila ni tumbili, Wassira atakuwa nani????
 
Kwani hayo maswali yanayoulizwa sasa! Wananchi wakiwa hawakubali rasimu si watapijia NO; na wakikubaliana na content si watasema Yes. Woga wa nini?

kwa nini wasipeleke options zote mbili kwa wananchi

huu mchakato ulitakiwa uanze na kura ya maoni kwanza wananchi wanataka muungano wa aina gani kisha ndio katiba itungwe kutokana na uchaguzi wa wananchi ... sasa ikienda huko ikakataliwa si tunaanza tena. Kwa nini tupoteze hela wakati wanataka kulazimisha kitu ambacho wananchi wanajua hawatakikubali hasa Zanzibar

CCM ni wahuni wanataka kufanya divide and rule ... wajaze mambo ya zanzibar ambayo tanzania bara hawakubaliani nayo kisha waje huku bara wajaze mambo kama upendeleo kwa wanawake, na makundi kadhaa madogo madogo .... UKICHANGANYA na KUCHAKACHUA KURA then serikali mbili imepita

UKAWA watakua hawatumii akili kama watakubaliana na janja janja ya CCM ... wawaache watengeneze katiba wanayoitaka. Woga wa nini si kura wanazo... wapitishe tu!
 
Nimeipenda hii: ......kama maoni yaliyopendekeza serikali tatu ni machache, yaliyotosheleza serikali mbili ni mangapi??????
 
haa haa, mkuu weka moja ya tusi ambalo lissu alimtukana mwasisi mkuu, maana nyinyi mnabeba maneno kama yalivyo ilimradi yamesemwa na jk au ccm pole sana mkuu!
Kusema 'Nyerere alizoea vya kunyonga vya kuchinja hawezi' kwa mwasisi wa taifa aliyekua na hadhi ya uadilifu kimataifa kwa wengi ilikua tusi. Hayo maneno tundu anaendelea nayo.
 
Ni mdahalo wa ubungo plaza ulioudhuriwa na Vijana wengi sana na pia ulikuwa live itv. Baada ya mada kubwa ni nani anayekwamisha mchakato wa katiba MPYA na kupelekea watanzania kutosa KATIBA MPYA . Vyama vyote vitatu vilishiriki CCM,CUF na CHADEMA . Mhe Wasira aliwazidi wenzake HOJA na uwezo katika kujibu maswali Kama alivyo ulizwa. HAKIKA UKAWA ya pata kipigo cha Wasira wakimbilia kafanya fujo Kama kawaida Yao.... Wasira kinara wa UKAWA .
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    72.7 KB · Views: 585
  • image.jpg
    image.jpg
    68.3 KB · Views: 538
  • image.jpg
    image.jpg
    72.1 KB · Views: 551
Ni mdahalo wa ubungo plaza ulioudhuriwa na Vijana wengi sana na pia ulikuwa live itv. Baada ya mada kubwa ni nani anayekwamisha mchakato wa katiba MPYA na kupelekea watanzania kutosa KATIBA MPYA . Vyama vyote vitatu vilishiriki CCM,CUF na CHADEMA . Mhe Wasira aliwazidi wenzake HOJA na uwezo katika kujibu maswali Kama alivyo ulizwa. HAKIKA UKAWA ya pata kipigo cha Wasira wakimbilia kafanya fujo Kama kawaida Yao.... Wasira kinara wa UKAWA .
 
Are you a Great thinker!Wasira ameshinda vipi?Mahali nilipokuwa na watch na watazamaji wengine,Wasira kashindwa vibaya.Take from me.
 
Hivi wewe unajua kwamba kuna Mungu? Lol!.

Uwongo wote wa kijinga hapa wa nini?. Sote tumeona. Kumbe ndiyo kawaida yenu ccm kupindua mambo. Wasira kapelekeshwa hadi kaishia kujiuma uma bila hoja na kusema wataenda bungeni sasa kuangalia potential challenges za serikali tatu na mbili. kaloa kama nini na ku end up kuwa mkali bila hoja. Nani hakuona?

Kama wewe huthamini utu wako, basi kumbuka maisha ya vizazi vyako vijavyo na umwogope Mungu. Hizo elfu saba saba hazitakutetea mbele za Mungu!. Usijisahau ukadhani utaishi milele. Ufahamu iko hukumu mbele yako kwa uwongo huu wa makusudi unaoufanya.

Kweli ccm hamna haya!. Lol!.

Ni mdahalo wa ubungo plaza ulioudhuriwa na Vijana wengi sana na pia ulikuwa live itv. Baada ya mada kubwa ni nani anayekwamisha mchakato wa katiba MPYA na kupelekea watanzania kutosa KATIBA MPYA . Vyama vyote vitatu vilishiriki CCM,CUF na CHADEMA . Mhe Wasira aliwazidi wenzake HOJA na uwezo katika kujibu maswali Kama alivyo ulizwa. HAKIKA UKAWA ya pata kipigo cha Wasira wakimbilia kafanya fujo Kama kawaida Yao.... Wasira kinara wa UKAWA .
 
Are you a Great thinker!Wasira ameshinda vipi?Mahali nilipokuwa na watch na watazamaji wengine,Wasira kashindwa vibaya.Take from me.

ili kuhakikisha kuwa Wassira kashinda, ITV walipofanya summary ya mdahalo huo wamenukuu manenoo ya Wassira ya kuwataka UKAWA kurejea bungeni kujadili Rasimu ya Katiba na si kupiga kelele Kibanda Maiti au Ubungo Plaza
 
Hivi wewe unajua kwamba kuna Mungu? Lol!.

Uwongo wote wa kijinga hapa wa nini?. Sote tumeona. Kumbe ndiyo kawaida yenu ccm kupindua mambo. Wasira kapelekeshwa hadi kaishia kujiuma uma bila hoja na kusema wataenda bungeni sasa kuangalia potential challenges za serikali tatu na mbili. kaloa kama nini na ku end up kuwa mkali bila hoja. Nani hakuona?

Kama wewe huthamini utu wako, basi kumbuka maisha ya vizazi vyako vijavyo na umwogope Mungu. Hizo elfu saba saba hazitakutetea mbele za Mungu!. Usijisahau ukadhani utaishi milele. Ufahamu iko hukumu mbele yako kwa uwongo huu wa makusudi unaoufanya.

Kweli ccm hamna haya!. Lol!.

acha kumsingizia Mungu wewe kwenye mambo yenu ya kipuuzi. Ni makali ya Wassira ndiyo yaliyomfanya Mbowe kuachana na mchakato huu wa katiba na kutangaza kuwa chadema wapo tayari kusubiri miaka 25 ili kupata katiba bora
 
UKAWA kupitia CHADEMA na CUF kubeba Vijana kufanya fujo kwenye mdahalo bado WASSIRA awashughulikia kisasa sawa maana UKAWA wanaleta mipasho kwenye HOJA ZA msingi ZA kitaifa.. Mbano lissu kutaka mizinga anayopigiwa RAIS wa Zanzibar AU lipumba anasema Moho wa KATIBA unajua???.... Wasira ENDELEA kuwashughulikia tutakutana nchi Hii kumbe unaweza.!!!!
 
Hii ni aibu kubwa kuona watu wazima na akili zao wanajivua uhalisia na kujaa propaganda. Hata mtoto mdogo aliyeona kilichokuwa kinajadiliwa kaona jinsi huyo mzee alivyoishia kuwa na hasira baada ya kukosa point za kuzungumza na kuishia kusema mambo ambayo hata yeye mweyewe hayaamini.
Wassira jana ameaibishwa sana huyo mzee na kajionyesha jinsi wana CCM wanavyoweza kuusimamia uongo bila aibu.
 
ili kuhakikisha kuwa Wassira kashinda, ITV walipofanya summary ya mdahalo huo wamenukuu manenoo ya Wassira ya kuwataka UKAWA kurejea bungeni kujadili Rasimu ya Katiba na si kupiga kelele Kibanda Maiti au Ubungo Plaza
Wewe umesoma kweli? Au umehudhuria tuu shule? Au ndio nyie wa hizi divisheni mnaita five? Unapaswa kuhurumiwa kwa kushindwa kuchambua hata kile ulichokiona kwa macho.
 
Back
Top Bottom