MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,512
umevurugwa weyeeeni mdahalo wa ubungo plaza ulioudhuriwa na vijana wengi sana na pia ulikuwa live itv. Baada ya mada kubwa ni nani anayekwamisha mchakato wa katiba mpya na kupelekea watanzania kutosa katiba mpya . Vyama vyote vitatu vilishiriki ccm,cuf na chadema . Mhe wasira aliwazidi wenzake hoja na uwezo katika kujibu maswali kama alivyo ulizwa. Hakika ukawa ya pata kipigo cha wasira wakimbilia kafanya fujo kama kawaida yao.... Wasira kinara wa ukawa .