Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Halafu mwanzo
waliaminishana kuwa wassira atawakimbia hawa mazezeta wa UKAWA. Mods wa
JF wafute ile topic na kumfungia yule member mzushi mara moja!

Je! Unataka muungano?
kama ndio
Je! wamuundo gani?
By-Lissu
 
Alafu msidanganye watu nyinyi! Ukawa Ni wapotishaji. Huo Ni muungano wa kinafiki na haina Toka kwa watanzania msiwadanganye wangekuwa na nia nzuri na watanzania wasingetoka bungeni.
 
Kwani hayo maswali yanayoulizwa sasa! Wananchi wakiwa hawakubali rasimu si watapijia NO; na wakikubaliana na content si watasema Yes. Woga wa nini?
 
Mungu yupi huyo anayejiingiza kwenye siasa za kijinga?? Acha shiriki mbuzi maji wewe

Kwa taarifa yako hakuna mtu mwenye akili kwa Mungu ndio maana unamtegemea daily
Kifup Mungu ni wa wote hata kwa wasiomjua
 
Halafu mwanzo waliaminishana kuwa wassira atawakimbia hawa mazezeta wa UKAWA. Mods wa JF wafute ile topic na kumfungia yule member mzushi mara moja!

Bwana mkubwa, uko vizuri lakini? Na hao mods si watakuwa wamekosa kazi kabisa kwa jioni njema kama hii ya leo?
 
Mwisho wa mdahalo Wasira ameomba apatiwe diclopa maana panadol hazitaweza kumsaidia.
 
Alafu msidanganye watu nyinyi! Ukawa Ni wapotishaji. Huo Ni muungano wa kinafiki na haina Toka kwa watanzania msiwadanganye wangekuwa na nia nzuri na watanzania wasingetoka bungeni.

Ivi kama kafulila ni tumbili,
Huyu wasira atakuwa nani???
Duh make nimepata shida ya kubembeleza mtoto baada ya kumuona huyo jamaa!!!!!
 
Na hadithi yetu imefikia mwisho....tuonane ktk toleo lijalo ndugu wadanganyika
 
Alafu msidanganye watu nyinyi! Ukawa Ni wapotishaji. Huo Ni muungano wa kinafiki na haina Toka kwa watanzania msiwadanganye wangekuwa na nia nzuri na watanzania wasingetoka bungeni.
Utakuwa miongoni mwa waliofaulu darasa la saba lakini hawajui kusoma wala kuandika...
Rudi shule ukajifunze kuandika..
 
Back
Top Bottom