MADA ILIKUWA NANI ANAKWAMISHA MCHAKATO WA KATIBA, KWA NINI AJIBU SWALI NJE YA MADA? JIBU ALILOTOA NI SAHIHI KABISA SWALI LINGINE?wewe nipe jibu la wassira kwenye swali hili kwanini raisi wa zanzibar anapigiwa mizinga 21
MADA ILIKUWA NANI ANAKWAMISHA MCHAKATO WA KATIBA, KWA NINI AJIBU SWALI NJE YA MADA? JIBU ALILOTOA NI SAHIHI KABISA SWALI LINGINE?wewe nipe jibu la wassira kwenye swali hili kwanini raisi wa zanzibar anapigiwa mizinga 21
Kweli CCM ni chama imara ,inakuwaje kuwaje na kubidisha CCM mmoja apambane na UKAWA wawili ,eti jamani si mmeona kwenye ITV 2:1.
Wasira alipambana na Lipumba akiwa Lisu ,ikimaanisha kwa kila CCM mmoja kunahitajika wapinzani wawili kupambana nae au wadau mnasemaje ?
AU tuseme akili ya CCM mmoja sawa na UKAWA wawili !
haya bhana mm najua MUNGU hamfichi mnafiki ipo siku ukweli utajulikana na serekali ya ccm mtaumbuka sana kama ilivyotokea kwa wassira jana kwenye mdahaloWALIZIKWA PAMOJA NA CHACHA WANGWE, MBOWE ANAJUA
ni kweli jana wassira alichanyikiwa wangeongeza hata muda wa nusu saa tuu wassira lazima angezimia lakini aibu waliyoipata jana hawasahau kamwe mm nawaambia kila siku humu JF ccm hawa uwezo wa kushindana na chadema kwenye hoja hata siku moja jana ccm wamevuliwa nguo zote wamebaki uchi yaani ccm mnabaka maoni ya wananchi na kuingiza maoni ya ccm kwenye katiba mpya MUNGU atawahukumu wahuni wakubwa nyie subirini kiama chenu 2015Ni kweli kapambana lakini katolewa manundu; mara nyaraka za siri za CCM hazijui; mara kigoma sio representative sample kwa maoni ya katiba mpya; kumbe Wassira anafikiri Kigoma ni Congo sio Tanzania!! mara wapemba watakwenda wapi kwani hawana kwao, kwani nani kasema serikali 3 zifukuze Wapemba!; Rais ana haki ya kutoa maoni yake! wakati wa kipindi cha kutoa maoni alikuwa wapi kama sio mbinu chafu za kuvuruga mchakato wa katiba mpya!
Wassira kama Mwigulu eti Ukawa hawajasajiliwa lakini bado anawasihi warudi bungeni.
CCM wamwangukie Makamba alishawaonya wasihudhurie midahalo watatolewa manundu, wanajaribu kumkaidi sasa Mzee Wassira yamemkuta!
wangeongeza muda angezimia yule mzee ccm hawana uwezo wa kushindana na chadema kwenye hoja hata siku moja ccm ni marehemu watarajiwa wamebaka maoni yetu wasubiri hukumuWasira alizidiwa kiac akaanza kuwa mbabe.
MADA ILIKUWA NANI ANAKWAMISHA MCHAKATO WA KATIBA, KWA NINI AJIBU SWALI NJE YA MADA? JIBU ALILOTOA NI SAHIHI KABISA SWALI LINGINE?[/QUOANAYEKWAMISHA WANANCHI WASIPATE KATIBA NI CCM WAMEBAKA MAONI YA WANANCHI NA KUINGIZA MAONI YA CCM KWENYE KATIBA MPYA
Mh Wasira hawezekani. Alipowabana wote wawili Lipumba na Tundu kwa kumwambia Lipumba kuwa unaandaika kwenye warsgha mambo ya maana kwenye warsha za watu thinker kuwa serikali 3 haziwezekani na mzigo na ukija kwa mburura huku unawaambia serikalli 3 zinawezekana maana yake nn. Lipumba karuka ruka na mburura yeyote aliyesikia ufafanuzi wa hoja hiyo aseme hapa. Kwa Lisu alimwambia ww ni mjumbe wa kamati ya Kanuni Bunge la Katiba ni mmoja wa waliotunga kanuni za Bunge hilo na moja ya Kanuni inasema Bunge lina mamlaka ya kujadiri, kubadiri na kuongeza jambo lolote kwenye rasmu ndugu yangu Tundu hata kwa ujanjawa kiwakili hakuthubutu kulijibia, sasa nyie mburura hamwoni kuwa Wasira ni jembe? Haya mburura mnayosema ni majungu na majungu yakiachwa yanaonekana si majungu.Wasira alifunika mtu 4 Rumors are carried by haters. spreads by fools and accepted idiot, Kwaheri mburura
Kweli CCM ni chama imara ,inakuwaje kuwaje na kubidisha CCM mmoja apambane na UKAWA wawili ,eti jamani si mmeona kwenye ITV 2:1.
Wasira alipambana na Lipumba akiwa Lisu ,ikimaanisha kwa kila CCM mmoja kunahitajika wapinzani wawili kupambana nae au wadau mnasemaje ?
AU tuseme akili ya CCM mmoja sawa na UKAWA wawili !
wewe nipe jibu la wassira kwenye swali hili kwanini raisi wa zanzibar anapigiwa mizinga 21
Umasikini wa watanzania au wazanzibari unaondoka kwa Rais kupigiwa mizinga ? swali na swali mara nyingine huzaa jibu.
Umasikini wa watanzania au wazanzibari unaondoka kwa Rais kupigiwa mizinga ? swali na swali mara nyingine huzaa jibu.
Hujui maana ya katiba f.a.r.a wewe!!! Sina uhakika kama ulisoma wewe au la!!!! But 99% inaonesha hujaenda shule