babuwaloliondo
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 378
- 174
hakuna aliyerecord hii kitu
Kwani wanaCCM wamezuiwa? Nafikiri tatizo ni kukosa hoja kwa wanaCCM wenye akilitatizo la hii forum ni moja, asilimia kubwa ni wanachadema na kazi yao ni kupinga kila kinachokatiza mbele yao #poor_tz
acha kumsingizia Mungu wewe kwenye mambo yenu ya kipuuzi. Ni makali ya Wassira ndiyo yaliyomfanya Mbowe kuachana na mchakato huu wa katiba na kutangaza kuwa chadema wapo tayari kusubiri miaka 25 ili kupata katiba bora
Kwa sisi tulio kuwepo ukumbini naona kama unatania vile ............. manaa unazungumza vitu kinyume nyume. Halafu thread za namna hii kwa watu waliofuatilia mdahalo wa jana wa ITV wataona kama ni uwongo wa mchana kweupe ni inashusha hadi ya JF. NI ushauri tu
Labda akafunuke kule porini kwake kigomaWassira amefunika pwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!
Lissu hoiiiiiiii
Lipumba houiiiiiii
Chezea Tyson weweeeeee
Kama nilikuwa siogopi ban ningekupa jibu haraka sanaBado sijapewa jibu....
Kama kafulila ni tumbili, Wassira atakuwa nani????
Jaribuni kutazama jambo hili kwa jicho la haki, Wassira kawagalagaza ukawa.Hawa ndio wapumbavu waliomwagwa hapa na MACCM ili kupindisha ukweli wa kila jambo na pia kuvuruga mijadala muhimu. Tangu jana mara tu ya ule mdahalo threads nyingi za kipumbavu kama hii zimeanzishwa. Wanafuata amri waliyopewa toka Lumumba.
Bado sijapewa jibu....
Kama kafulila ni tumbili, Wassira atakuwa nani????