Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

kasema ukweli lakini, wasira peke yake kawapakata ukawa wawili[/QUOTEna wewe pia hujitambui wasira alikuwa anaiwakilisha ccm ;lipumba alikuwa anaiwakilisha cuf na Tundu lissu alikuwa anaiwakilisha chadema wassira kuanzia aanze siasa hakuna siku ameaibika kama jana huu ndo ukweli hata kama mtajaribu kupotosha ukweli mm nawaambia tena ccm hawana uwezo wa kushindana na chadema kwenye hoja hata siku moja ccm ni marehemu mtarajiwa
 
Kweli CCM ni chama imara ,inakuwaje kuwaje na kubidisha CCM mmoja apambane na UKAWA wawili ,eti jamani si mmeona kwenye ITV 2:1.

Wasira alipambana na Lipumba akiwa Lisu ,ikimaanisha kwa kila CCM mmoja kunahitajika wapinzani wawili kupambana nae au wadau mnasemaje ?

AU tuseme akili ya CCM mmoja sawa na UKAWA wawili !

Vumilia kesho mfungo unaisha Akili yako itarudi sawa
 
kweli ccm ni chama imara ,inakuwaje kuwaje na kubidisha ccm mmoja apambane na ukawa wawili ,eti jamani si mmeona kwenye itv 2:1.

Wasira alipambana na lipumba akiwa lisu ,ikimaanisha kwa kila ccm mmoja kunahitajika wapinzani wawili kupambana nae au wadau mnasemaje ?

Au tuseme akili ya ccm mmoja sawa na ukawa wawili !
tatizo walipeleka mwenye jalada mirembe na bachelor(mtu asiye na familia)
 
Wacha umbulula wewe! Pale walialikwa wawakilishi wa vyama....

Umekuwa kipofu wa akili na macho kupelekea kutoona meza za walioalikwa zilikuwa na Bendera za vyama vyao..

Fool...
 
kasema ukweli lakini, wasira peke yake kawapakata ukawa wawili[/QUOTEna wewe pia hujitambui wasira alikuwa anaiwakilisha ccm ;lipumba alikuwa anaiwakilisha cuf na Tundu lissu alikuwa anaiwakilisha chadema wassira kuanzia aanze siasa hakuna siku ameaibika kama jana huu ndo ukweli hata kama mtajaribu kupotosha ukweli mm nawaambia tena ccm hawana uwezo wa kushindana na chadema kwenye hoja hata siku moja ccm ni marehemu mtarajiwa
WEWE NDO UNATAKA KUMWAIBISHA WASIRA KWA MANENO YAKO, WATANZANIA TULIKUWA TUNASHUHUDIA KAYABURUZA MATUNDU NA MAPU,MBU ILE MBAYA
 
Ubabe wa Wassira hautaisadia CCM wala taifa hili kwa ujumla. Jana alionja joto la jiwe! Mahafidhina wa CCM nafikiri na yeye ni mmojawapo wa kuona Tume hawakuwapa walichotaka wao bali walichotaka/wanachotaka wananchi.
 
Ubabe wa Wassira hautaisadia CCM wala taifa hili kwa ujumla. Jana alionja joto la jiwe! Mahafidhina wa CCM nafikiri na yeye ni mmojawapo wa kuona Tume hawakuwapa walichotaka wao bali walichotaka/wanachotaka wananchi.

Jana Wassira alionesha kabisa kuwa CCM wanaibaka Katiba mpya..
 
Mh Wasira hawezekani. Alipowabana wote wawili Lipumba na Tundu kwa kumwambia Lipumba kuwa unaandaika kwenye warsgha mambo ya maana kwenye warsha za watu thinker kuwa serikali 3 haziwezekani na mzigo na ukija kwa mburura huku unawaambia serikalli 3 zinawezekana maana yake nn. Lipumba karuka ruka na mburura yeyote aliyesikia ufafanuzi wa hoja hiyo aseme hapa. Kwa Lisu alimwambia ww ni mjumbe wa kamati ya Kanuni Bunge la Katiba ni mmoja wa waliotunga kanuni za Bunge hilo na moja ya Kanuni inasema Bunge lina mamlaka ya kujadiri, kubadiri na kuongeza jambo lolote kwenye rasmu ndugu yangu Tundu hata kwa ujanjawa kiwakili hakuthubutu kulijibia, sasa nyie mburura hamwoni kuwa Wasira ni jembe? Haya mburura mnayosema ni majungu na majungu yakiachwa yanaonekana si majungu.Wasira alifunika mtu 4 Rumors are carried by haters. spreads by fools and accepted idiot, Kwaheri mburura
 
Jana Wassira alionesha kabisa kuwa CCM wanaibaka Katiba mpya..
ni ukweli kabisa ccm jana wamevuliwa nguo zote wakabaki uchi wassira ndo maana walimzomea sana kule ukumbi kwani alikuwa hajibu hoja zaidi ya kuweweseka tuu ccm ni marehemu watarajiwa
 
kasema ukweli lakini, wasira peke yake kawapakata ukawa wawili[/QUOTEna wewe pia hujitambui wasira alikuwa anaiwakilisha ccm ;lipumba alikuwa anaiwakilisha cuf na Tundu lissu alikuwa anaiwakilisha chadema wassira kuanzia aanze siasa hakuna siku ameaibika kama jana huu ndo ukweli hata kama mtajaribu kupotosha ukweli mm nawaambia tena ccm hawana uwezo wa kushindana na chadema kwenye hoja hata siku moja ccm ni marehemu mtarajiwa
Leo CDM NA CUF WAMEKUWA TOFAUTI TENA, HALAFU USIDANGANYE WATANZANIA, SOTE TULIKUWA MASHUHUDA, MAPUMBA YOTE YALIINGIZWA KWENYE MATUNDU NA WASIRA AKAYAFUKIA
 
ni ukweli kabisa ccm jana wamevuliwa nguo zote wakabaki uchi wassira ndo maana walimzomea sana kule ukumbi kwani alikuwa hajibu hoja zaidi ya kuweweseka tuu ccm ni marehemu watarajiwa
nyie mnabwabwaja tu, mziki wa wasira ni mnene, maliberari na wahafidhina hawauwezi kabisa
 
nyie mnabwabwaja tu, mziki wa wasira ni mnene, maliberari na wahafidhina hawauwezi kabisa
mziki wa wasira ni mnene,taarabu nayo ni muziki mnene jana sijaona anajibu hoja zaidi kuweweseka tuu
 
Back
Top Bottom